Vijana wakiweka aibu chini, wanaweza kufanikiwa

Nakumbuka nishafanya biashara ya nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa wa kuuza simu ndogo zile za batani ndani ya wiki moja nikauza simu 5 nikaona huu ufala,biashara bila ofisi maalumu ni utopolo kama utopolo mwingine
Inawezekana kama ungekuwa na ofisi, hata hizo tano usingeuza; baadaye ilikuwaje?
 
Kwa siku nilikuwa napata 5000 aub7000 ukitoa hela ya chakula wari na maharage 1500 na maji ya kunywa ya buku unabakiwa na 2500 yaani bure kabisa
Kwa namna moja ama nyingine ilikupeleka hatua nyingine
 
[emoji3516]
MKUU,
USIPOWEKA KIPENGELE CHA KUBETI,
HUU UZI UNAKOSA MASHIKO KABISA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…