Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Big up kwa vijana.. makanisa mengi yana unafki mtu akiwa tajiri hatengwi wala nini
Mkuu hilo tatizo nikajua kwangu tu ukiifungua inakuja menyu ya jf[emoji26]Izi attachment kwanini hazifunguki
Ukiona hivyo basi tumia desktop mode ndiyo itafunguka.Yani JF uifungue kwa browser ya kawaida na siyo mobile versionMkuu hilo tatizo nikajua kwangu tu ukiifungua inakuja menyu ya jf[emoji26]
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Fungua JF kwa browser ya kawaida ile kama unatumia computer ndiyo itakubaliIzi attachment kwanini hazifunguki