Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Babu ungesumarize japo kwa kifupi kuliko HV na video zako
Kumbe upo app kijana wa archugaHao jamaa hapo nawafahamu karibu wote huyo chalii alivaa shati yekundu anayeongea alikuwa mshakaji tulisoma primary Amrish Puri..ni long time ago
Ndio mkuu wengi hapo nawafahamu ila ni muda sana sijakutana nao
Hata mimiMkuu hilo tatizo nikajua kwangu tu ukiifungua inakuja menyu ya jf[emoji26]
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Duh!.Kanisa katoliki ni moja ya kanisa chafu kuliko makanisa yote duniani…kuanzia kuanzishwa kwake mpaka sasa.
We hutendi dhambi japo hujatengwa? Unafiki tuSasa kama kanisa limeshamtenga kwanini wanalazimisha msalaba uzikwe pamoja na jeneza...?
Walifanyie kazi iliMkuu hilo tatizo nikajua kwangu tu ukiifungua inakuja menyu ya jf[emoji26]
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Wameleta FUJI kweli noma aisee FUJI sio nzuri