Pre GE2025 Vijana wameanza kuamka na kuchukua nafasi yao kwenye siasa na maendeleo ya nchi?

Pre GE2025 Vijana wameanza kuamka na kuchukua nafasi yao kwenye siasa na maendeleo ya nchi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Baada ya umoja wa walimu wasiyo na ajira naona umoja mwingine wa vijana wasiyo na ajira umeanzishwa, umoja huu ukiwa unahusisha kada zote nchini ili kupaza sauti juu ya maslahi yao.

Pia soma: Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Tunaanza kushuhudia mapinduzi makubwa yatakayoletwa na vijana kwenye uwajibikaji wa serikali?

Vijana kuachana na uchawa na kuwa nguzo muhimu ya kuleta maendeleo nchini na kuhakikisha tunapata viongozi bora wa kutupeleka kwenye Tanzania tuiotayo na kuitaka?
 
Mtu amekosa ajira anayo miaka 35, mjinga mmoja anawaibiwa wananchi kodi yao anaishi maisha ya anasa kwa kutembelea gari ya 200milioni na kulishwa bure...kodi bure, then ananyanyuka na kupayuka kuwa vijana wanakosea wakati hawaoni future yao.
 
Mtu amekosa ajira anayo miaka 35, mjinga mmoja anawaibiwa wananchi kodi yao anaishi maisha ya anasa kwa kutembelea gari ya 200milioni na kulishwa bure...kodi bure, then ananyanyuka na kupayuka kuwa vijana wanakosea wakati hawaoni future yao.
Ni huzuni
 
Wakuu,

Baada ya umoja wa walimu wasiyo na ajira naona umoja mwingine wa vijana wasiyo na ajira umeanzishwa, umoja huu ukiwa unahusisha kada zote nchini ili kupaza sauti juu ya maslahi yao.

Pia soma: Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Tunaanza kushuhudia mapinduzi makubwa yatakayoletwa na vijana kwenye uwajibikaji wa serikali?

Vijana kuachana na uchawa na kuwa nguzo muhimu ya kuleta maendeleo nchini na kuhakikisha tunapata viongozi bora wa kutupeleka kwenye Tanzania tuiotayo na kuitaka?
Lazima kila mtu aupinge huu mfumo ovu, Tanzania kuna koo kama 7 hivi ndiyo zinafaidi matunda ya uhuru wengine tunasindikiza
 
Wakuu,

Baada ya umoja wa walimu wasiyo na ajira naona umoja mwingine wa vijana wasiyo na ajira umeanzishwa, umoja huu ukiwa unahusisha kada zote nchini ili kupaza sauti juu ya maslahi yao.

Pia soma: Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Tunaanza kushuhudia mapinduzi makubwa yatakayoletwa na vijana kwenye uwajibikaji wa serikali?

Vijana kuachana na uchawa na kuwa nguzo muhimu ya kuleta maendeleo nchini na kuhakikisha tunapata viongozi bora wa kutupeleka kwenye Tanzania tuiotayo na kuitaka?
Amini amini nakwambieni ni vijana wajanja fulani hapo wameamua kuwatumia wenzao ili kuweza kufikia juu na kutimiza malengo yao.
Unahitaji uwe na backup ya watu ili kufikia malengo fulani hasa ya kisiasa au ulaji.
Sema si mbaya mdogo mdogo tutafika tu vijana wataamka.
 
Back
Top Bottom