MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 560
Ndani ya Bongo mambo Supa hapana
uongo
Ingawa sometime bongo chungu
kama si fongo
Nafanya makaratee kama machinga
mtraa wa Kongo
Na kimitindomitindo nakata ngebe
kimtimanyongo
Hapana matata kiut roho inapenda
utapata
Bongo Dar es Salaam ni mpeto wa
kutakata
Nenda viwanja vikali vya Bongo
ustaajabu
Pia SLip way, Blue Palm au Mambo
Club
Kama hujazoea unaweza ukavunja
shingo
Mambo ya ISidingo, watu mkononi
Nokia Ringo
Huwezi kujua yupi mtoo wa geti
yupio changu
zi kujua yupi mtoo wa geti yupi
Wote wanameremeta kama mamtoni
mwanangu
Dili zinapoyeyuka wabongo tunalia
ukata
Subiri kichapo chake pale mbongo
anapozipata
Mwendo wa kiti kirefu njiani na
nyama choma
Na toto mbili tatu za geti au za kona
Hii watuwa pombe tunasema
napoteza mawazo
Lakini mara hutokea wakati unazo
Watu warumba kali sa moja shuka
utosini
N akujifanya uawazamambo mengi
ofisini
Pitia pitia night kali mitaa ya
Kinondoni
Kinadda nusu uchi fegi kmdomoni
Na kama una gari watajazana
madirishani
Mpaka uose hewa wote wanataka
hisani
Kwenye madaladala kuibiwa ni
kawaida
Vaa cheni shingoni, saa mononi utoe
faida
Wacha wazi kisha ukatize Manzese
Uwape mateja mtaji waende
machimbo wakatese
Rudi Mwananyamala Ooh Mateja
kibao
Katiza saa moja moja uone roba za
mbao
Utaona kama mtoa roho yuko karibu
yako
Ni heri utoe chochote ili uokoe
maisha yako
uongo
Ingawa sometime bongo chungu
kama si fongo
Nafanya makaratee kama machinga
mtraa wa Kongo
Na kimitindomitindo nakata ngebe
kimtimanyongo
Hapana matata kiut roho inapenda
utapata
Bongo Dar es Salaam ni mpeto wa
kutakata
Nenda viwanja vikali vya Bongo
ustaajabu
Pia SLip way, Blue Palm au Mambo
Club
Kama hujazoea unaweza ukavunja
shingo
Mambo ya ISidingo, watu mkononi
Nokia Ringo
Huwezi kujua yupi mtoo wa geti
yupio changu
zi kujua yupi mtoo wa geti yupi
Wote wanameremeta kama mamtoni
mwanangu
Dili zinapoyeyuka wabongo tunalia
ukata
Subiri kichapo chake pale mbongo
anapozipata
Mwendo wa kiti kirefu njiani na
nyama choma
Na toto mbili tatu za geti au za kona
Hii watuwa pombe tunasema
napoteza mawazo
Lakini mara hutokea wakati unazo
Watu warumba kali sa moja shuka
utosini
N akujifanya uawazamambo mengi
ofisini
Pitia pitia night kali mitaa ya
Kinondoni
Kinadda nusu uchi fegi kmdomoni
Na kama una gari watajazana
madirishani
Mpaka uose hewa wote wanataka
hisani
Kwenye madaladala kuibiwa ni
kawaida
Vaa cheni shingoni, saa mononi utoe
faida
Wacha wazi kisha ukatize Manzese
Uwape mateja mtaji waende
machimbo wakatese
Rudi Mwananyamala Ooh Mateja
kibao
Katiza saa moja moja uone roba za
mbao
Utaona kama mtoa roho yuko karibu
yako
Ni heri utoe chochote ili uokoe
maisha yako