imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Habari wana jf.
Ofisi inafanya renovation, wanahitajika vijana wachapa kazi wenye ndoto za kufanya kazi zao binafsi na kukua.ofice iko dar inajihusisha na kutoa huduma kwenye mashule na vyuo.
Karibu uwe sehemu ya vijana watatu wenye kuumiza vichwa kujikomboa kwa biashara mpya tanzania.
Kama unajiamini unaweza kujituma ila umekosa vianzia.
Fika magomeni Dar es salaam kesho 15/09/2012 kuanzia saa nne kamila hadi saa nane kamili.
Uwe unakazi au huna cha msingi unajiamini pia elimu ya enterprenour by born or made.
For more: 0753-810857.
Ofisi inafanya renovation, wanahitajika vijana wachapa kazi wenye ndoto za kufanya kazi zao binafsi na kukua.ofice iko dar inajihusisha na kutoa huduma kwenye mashule na vyuo.
Karibu uwe sehemu ya vijana watatu wenye kuumiza vichwa kujikomboa kwa biashara mpya tanzania.
Kama unajiamini unaweza kujituma ila umekosa vianzia.
Fika magomeni Dar es salaam kesho 15/09/2012 kuanzia saa nne kamila hadi saa nane kamili.
Uwe unakazi au huna cha msingi unajiamini pia elimu ya enterprenour by born or made.
For more: 0753-810857.