Vijana wanaopendwa kutunzwa na Mimama

Kidini inaruhusu ,tena ni thwawabu kumuoa mwanamke aliye kuzidi umri...no problem...
 
wasichana wengi siku hizi wako after money,hawana mapenzi ya kweli kwa vijana wenzao wapo kimaslah zaidi,bora nijichotee jimama la nguvu halina sound!!!
 
kwani kuna ubaya gani? hakuna tatizo lolote bwana!
 
wasichana wengi siku hizi wako after money,hawana mapenzi ya kweli kwa vijana wenzao wapo kimaslah zaidi,bora nijichotee jimama la nguvu halina sound!!!

Nakubaliana na wewe gharama za kuwa na jimama ni ndogo kulinganisha na hawa mabinti!
 
sabb ajira za wanaume wanapewa wanawake,kwa kwa kutmia misemo kibao,mala o ooh wakiwezeshwa wanaweza,mala oooh aslimaa 50 kwa 50 makazini.na ile ya mwanamke akigongana point na dume kwenye matokeo yamtihan *anakwenda dem mwanamme anabak kitaa.
 
Mmetofautiana na lengo la muuliza swali
Kumbuka mwanzoni ulichangiaje



 
FaizaFox kwa kusema "mijimama" nilikuwa namaanisha "shugamami" na si vinginevyo. My apologies if you got me wrong!
 
 
Waacheni vijana waende, huko ndiko wanakopata pumuziko lisilo na bughuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…