Ililipotiwa huko Kagera kuwa msafara wa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kupigwa mawe pale alipokuwa akipita mbele ya Jengo la CCM akielekea uwanjani kwenye mkutano , mwanzo nilidhani ni propaganda tu za wana CHADEMA
Jana akiwa Geita Mjini hali hiyo mbaya ya kutupa mawe imejitokeza tena akiwa barabarani karibu na ofisi ya CCM akielekea kwenye mkutano wake .
Je, iwapo wana CHADEMA wangeamua kujibu mashambulizi ya kuwapiga vijana wa CCM kusingetokea madhara? Kwani CHADEMA walikuwa wengi kuliko hao vijana wa CCM.
Je, huu ni mpango wa kutaka kuharibu kampeni za Tundu Lissu ili ionekane kuwa CHADEMA ni watu wa fujo na vurugu?
Tunaomba viongozi wa CCM mkemee tabia hii ili kuepuka maafa.
Naomba kuwasilisha.
Jana akiwa Geita Mjini hali hiyo mbaya ya kutupa mawe imejitokeza tena akiwa barabarani karibu na ofisi ya CCM akielekea kwenye mkutano wake .
Je, iwapo wana CHADEMA wangeamua kujibu mashambulizi ya kuwapiga vijana wa CCM kusingetokea madhara? Kwani CHADEMA walikuwa wengi kuliko hao vijana wa CCM.
Je, huu ni mpango wa kutaka kuharibu kampeni za Tundu Lissu ili ionekane kuwa CHADEMA ni watu wa fujo na vurugu?
Tunaomba viongozi wa CCM mkemee tabia hii ili kuepuka maafa.
Naomba kuwasilisha.