Vijana wanaosajili laini mitaani za mitandao ya simu wengi ni wezi

Vijana wanaosajili laini mitaani za mitandao ya simu wengi ni wezi

Kuna kutapeliwa kwingine kizembe sana,hasa wabongo wanatapeliwa kibwege sana.

ukihadithiwa utapeli mwingine utashangaa huyu katapeliwa au kaamua tu kutoa simu,fedha au mali yake!

kuna dada kakutana na watu wawili ke na me barabarani wakamwambia wanauza dhahabu,wakamshawishi akapewa iyo dhahabu kisha yeye akawapa simu pesa kidogo na mkoba wake,uyo dada kawapa simu akasahau kutoa laini na kwenye mkoba pia kulikua na vitu vyake vya kujipodoa na vitamburisho akawapa mkoba kama ulivyo.

wale jamaa bado tena wakawa wanatumia laini yake kuomba pesa ndugu za uyo dada kupitia namba alizosevu kwenye laini kwa kuwatumia sms na namba nyingine ya kutuma iyo hela waayoomba.naadhi ya ndugu wakatuma.

yule dada nilimuuliza "wewe dada ulieda shule kusoma ili akili yako iwe ya kizembe kiasi hiki au ao matapeli walikuroga?",akaanza kulia tena
 
Kuna kutapeliwa kwingine kizembe sana,hasa wabongo wanatapeliwa kibwege sana.

ukihadithiwa utapeli mwingine utashangaa huyu katapeliwa au kaamua tu kutoa simu,fedha au mali yake!

kuna dada kakutana na watu wawili ke na me barabarani wakamwambia wanauza dhahabu,wakamshawishi akapewa iyo dhahabu kisha yeye akawapa simu pesa kidogo na mkoba wake,uyo dada kawapa simu akasahau kutoa laini na kwenye mkoba pia kulikua na vitu vyake vya kujipodoa na vitamburisho akawapa mkoba kama ulivyo.

wale jamaa bado tena wakawa wanatumia laini yake kuomba pesa ndugu za uyo dada kupitia namba alizosevu kwenye laini kwa kuwatumia sms na namba nyingine ya kutuma iyo hela waayoomba.naadhi ya ndugu wakatuma.

yule dada nilimuuliza "wewe dada ulieda shule kusoma ili akili yako iwe ya kizembe kiasi hiki au ao matapeli walikuroga?",akaanza kulia tena

Kuna muda mambo yanatokea bila kujijua mkuu
 
Pia wanatumia kitambulisho chako kusajilia lina zaidi ya moja unapo mpa namba yako ya Nida akianza kusajilia atakusajilia line yako....pia atasajili line zaidi ya moja kwa Namba yako ya Nida,atajifanya kama fingerprint hazisomi vizuri atakwambia urudie rudie kumbe ndio anasajili line zingine,Mimi nimesajiliwa line Tigo Moja,ila nikiangalia usajili wa line kwa namba yangu ya Nida kuna namba mbili za Tigo Moja siitambui,Airtel nilisajili Moja ila zipo tatu mbili sizitambui.

Kuna Dogo alikuwa anasajili line anathibitisha ni kweli,Hapo inatakiwa uende kwenye maduka ya mitandao husika ukafute namba usizozitambua.

Hawa vijana ni wezi....jiulize zile line wanazoziuza zimeshasajiliwa vitambulisho au Namba za Nida huwa wanazitoa wapi?
Hii ni kweli kabisaaaa.
 
Mkuu ukibadili line tu kwenda kwenye cm ya wakala hao jmaaa wana apps ya tcast incopy kila unchofany kwenye simu hvo kuweka line kwake akakwambia fanya muamala ununue sh 100 muda wa maongez hapo lengo ukiweka tu no ya siri ukimpa cm anplay record ataona namba ya siri anahamisha fasta vijana wengi sana wanajihusisha na hayo mambo wanafahamika na jamiii inayowazunguka
 
Mkuu ukibadili line tu kwenda kwenye cm ya wakala hao jmaaa wana apps ya tcast incopy kila unchofany kwenye simu hvo kuweka line kwake akakwambia fanya muamala ununue sh 100 muda wa maongez hapo lengo ukiweka tu no ya siri ukimpa cm anplay record ataona namba ya siri anahamisha fasta vijana wengi sana wanajihusisha na hayo mambo wanafahamika na jamiii inayowazunguka

Nimekusoma mkuu
 
Bongo Kila mtu mwizi,ukiwakwepa wa laini utakutaka na wauza vitu online,waagiza vitu china,wauza viwanja vya mkopo.
 
kuna siku walinikutaa Pub, wanasajili special namba.Nikapenda namba moja, na kusajili.
Siku ya tatu na angalia orodha ya namba zilizo sajiliwa na NIDA yangu. nikakuta namba mbili mngeni zote zina majina yangu.
Nikapiga huduma kwa wateja vodacom, kuzifungia hizo laini.
 
Naonaga mitandao na benk wanatuma sms kwamba kwanza usitoe password yako kwa mtoa huduma,pili usukubali eti aweke laini yako kwenye simu yake
Pole sana
 
Kuna kutapeliwa kwingine kizembe sana,hasa wabongo wanatapeliwa kibwege sana.

ukihadithiwa utapeli mwingine utashangaa huyu katapeliwa au kaamua tu kutoa simu,fedha au mali yake!

kuna dada kakutana na watu wawili ke na me barabarani wakamwambia wanauza dhahabu,wakamshawishi akapewa iyo dhahabu kisha yeye akawapa simu pesa kidogo na mkoba wake,uyo dada kawapa simu akasahau kutoa laini na kwenye mkoba pia kulikua na vitu vyake vya kujipodoa na vitamburisho akawapa mkoba kama ulivyo.

wale jamaa bado tena wakawa wanatumia laini yake kuomba pesa ndugu za uyo dada kupitia namba alizosevu kwenye laini kwa kuwatumia sms na namba nyingine ya kutuma iyo hela waayoomba.naadhi ya ndugu wakatuma.

yule dada nilimuuliza "wewe dada ulieda shule kusoma ili akili yako iwe ya kizembe kiasi hiki au ao matapeli walikuroga?",akaanza kulia tena
Wengi hutumia uchawi Wala usimlaumu.
 
Back
Top Bottom