Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo ni mshia, na mashia sio waislamu.Ungekuja na kuwalaum hao uliowatoa kanisani na kuwapa kazi na sio kushutumu jamii mzima ya wakristo!!, kwahiyo hao kina muhamadi ndio sio majizi?. Mo ni Bilinear lakini bado anaiibia Simba na anaenda msikitini sembuse pangupakavu?. Uaminifu na wizi ni hulka ya mtu .
Wizi na kukosa uaminifu hauna dini ni tabia na malezi ya mtu, kuna watu hawana dini ila ni waaminifu sana..?Mo ni mshia, na mashia sio waislamu.
watu wazuri wanapatikana bar na sio kanisani wala msikitiniNani kaelewa hili Tangazo...??
Kama ulikiwepo.....ni wavuvu wanaotaka mafanikio ya harakapole sana itakua ni UVCCM hao
aisee hiyo kazi yenye marupurupu kibao ni wapi,vijana wamezinguaHili jambo sikutaka kuliweka hapa lakini nimeona nitoe sumu.
Nimewadhamini kazi kwa wadau tunao heshimiana sana nikiamini kwamba nimewatoa kanisani mtakuwa waaminifu kwenye kazi za watu, lakini kwa tamaa zenu mmenichafulia PR kwa wazee wenzangu.
Nakumbuka nilivyojifunga kwa maneno ya kinywa changu lakini kwa mlivyokosa adabu mngeomba hata samahani. Si kwa ubaya lakini bora kuchukua vijana msikitini manake si wadokozi.
Hili nililifanyia utafiti kitambo sana na ndio maana makampuni mengi yenye madereva wanaoswali hukua siku hadi siku.
...UBAYA UBWELA...
Mimi sikutetea wezi mkuu wangu, niliweka tu sawa kuhusu ushia na uislamu, ama waislamu wezi ni wengi tu, ndio maana kuna sheria kwenye uislamu ya mtu kukatwa mkono akiiba kiwango fulani, ila vijana wa waislamu wana nafuu kulinganisha na upande wa pili.Wizi na kukosa uaminifu hauna dini ni tabia na malezi ya mtu, kuna watu hawana dini ila ni waaminifu sana..?
Wewe unayetaka kutetea Waislamu ni kuulize hao waliopo serikali wanaiba na inajullikana ni Waislam na msikitini wanaenda unasemaje?
🤣🤣🤣Waumini wa kanisa la kiboko wa wachawi hao
Wana nafuu tafiti amefanya nani? Na wewe unasemaje kuwa shia sio waislam na ina julikana ni dhehebu la kiiislam kama ilivyo kwa Sunni. Je Shia hawatumii Kurani? Hawamtaji Mohamed kama kiongozi wao?Mimi sikutetea wezi mkuu wangu, niliweka tu sawa kuhusu ushia na uislamu, ama waislamu wezi ni wengi tu, ndio maana kuna sheria kwenye uislamu ya mtu kukatwa mkono akiiba kiwango fulani, ila vijana wa waislamu wana nafuu kulinganisha na upande wa pili.
Hakuna sehemu nimeandika wakristo....Ungekuja na kuwalaum hao uliowatoa kanisani na kuwapa kazi na sio kushutumu jamii mzima ya wakristo!!, kwahiyo hao kina muhamadi ndio sio majizi?. Mo ni Bilinear lakini bado anaiibia Simba na anaenda msikitini sembuse pangupakavu?. Uaminifu na wizi ni hulka ya mtu .
You're very right wana unafuu......ukweli ndio huo...mimi mwenyewe sio muislam lakini kama jambo liko kweli tunalisema ili tujue hawa vijana wetu tutawasaidiajeMimi sikutetea wezi mkuu wangu, niliweka tu sawa kuhusu ushia na uislamu, ama waislamu wezi ni wengi tu, ndio maana kuna sheria kwenye uislamu ya mtu kukatwa mkono akiiba kiwango fulani, ila vijana wa waislamu wana nafuu kulinganisha na upande wa pili.
Pole.Hili jambo sikutaka kuliweka hapa lakini nimeona nitoe sumu.
Nimewadhamini kazi kwa wadau tunao heshimiana sana nikiamini kwamba nimewatoa kanisani mtakuwa waaminifu kwenye kazi za watu, lakini kwa tamaa zenu mmenichafulia PR kwa wazee wenzangu.
Nakumbuka nilivyojifunga kwa maneno ya kinywa changu lakini kwa mlivyokosa adabu mngeomba hata samahani. Si kwa ubaya lakini bora kuchukua vijana msikitini manake si wadokozi.
Hili nililifanyia utafiti kitambo sana na ndio maana makampuni mengi yenye madereva wanaoswali hukua siku hadi siku.
...UBAYA UBWELA...
Hii sasa ni mada nyingine, tusiharibu content ya uzi wa mkuu nzalendo ila jua ushia umetokana na uyahudi.Wana nafuu tafiti amefanya nani? Na wewe unasemaje kuwa shia sio waislam na ina julikana ni dhehebu la kiiislam kama ilivyo kwa Sunni. Je Shia hawatumii Kurani? Hawamtaji Mohamed kama kiongozi wao?
Ni kweli kabisa, huwa nikisafiri naona madereva wengi ni waislamu labda nikadhania kwasababu matajiri wengi sekta hiyo ni waarabu.You're very right wana unafuu......ukweli ndio huo...mimi mwenyewe sio muislam lakini kama jambo liko kweli tunalisema ili tujue hawa vijana wetu tutawasaidiaje