Vijana wangu msiuache mfumo dume

Vijana wangu msiuache mfumo dume

Ahsante MKUU .. makala mengi nimesoma leo hii nimepata kitu.. shukrani sana na wanashindwa kuelewa kwa nini? Mwanaume anatoa mahali na mwanamke anatoka kwao anakuja kwako.. kuna watu wachache wasielewa wanavuruga taratibu.. mwanaume unapigwaje? Vibao na mke wako.. uzembe tu wakutotaka kujishughulisha.. Asante mkuu
 
Nadhani ni wakati umefika wa kuanzisha kampeni ya kumkomboa Mtoto/kijana wa kiume.. tumeng'ang'ania kumkomboa mwanamke(kwa usawa wa kijinsia) huku mtoto wa kiume akitelekezwa na kuisahau nafasi yake katika familia na jamii kwa ujumla.

Matokeo yake kwa sasa ndo hayo ya Ushoga, Umarioo, ulevi wa kupindukia ,kamari ,kutelekezwa kwa familia n.k

Japo binafsi sii muumini wa vipigo kama njia ya kumrekebisha mtu ila naamini katika nafasi ya baba kama kiongozi wa familia.


Wito: kwa nafasi tulizonazo tusione aibu kuliongeelea na kukemea hili
Amina!
 
Vijana wangu, nawahurumia mno na dunia hii tuliyopo sasa. Mfumo dume si kupiga piga wala kunyanyasa wanawake au kutosomesha watoto wa kike, mfumo dume si kutoa maneno ya udhalilishaji kwa wanawake unapolewa. Mfumo dume ni pamoja na kuheshimu wanawake na kuwalinda.

Mfumo dume ni nini?

Ili maisha yaende ni lazima, hususani katika ngazi ya familia, LAZIMA mmoja ajishushe ili maisha yaende. Na maandiko YOTE matakatifu (kwa mnaoamini Mungu) yameshaweka hili bayana.

Wa kujishusha ni mwanamke, kwa nini? Jibu analo Mungu aliyesema iwe hivyo. Matatizo mengi ya siku hizi yanatokana na kutaka kwa hali na mali kumuangusha mwanaume kileleni kwenye nafasi yake ya mamlaka na utawala.

Ndoa zinavunjika siku mpaka siku, kwa wanawake kutaka kuingilia utawala na mamlaka ya waume zao. Kuchelewa kurudi mpaka kurudi asubuhi, kutopika kwa wakati bila taarifa maalumu, na kuwa mkali ukiulizwa sababu.

Yaani katika maamuzi ya familia mwanamke naye anataka ashiriki 50% zote, khaaa! Hii haiwezekani na haitowezekana, na wanawake hawataki kukubali, wanataka wawe sawa kwa kila kitu ukiacha kuzaa na maumbile tu. Zamani ndoa ilikuwa inaheshimika ila si sasa.

Sio kwamba zamani wazee wetu walikuwa wananyanyasa wanawake kama propaganda za magharibi zinavyosema, si kwamba wazee wetu walikuwa hawajastaarabika na hawana akili, si kwamba wazee wetu walikuwa watu wa hovyo hovyo, hapana!

Wazee wetu walisimama KIKAMILIFU kwenye nafasi zao, na waliweka sheria kali za kuwalazimisha bibi zetu wasimame kwenye nafasi zao, hili ndilo feminists huligeuza na kuliita lilikuwa ukandamizaji kwa jinsia ke, kitu ambacho ni totally wrong.

Walitakiwa waanze kumlaumu Mungu na kumuita mkandamizaji, feminists na wafadhili wa haki sawa hawawafahamu wanawake kama Mungu mwenyewe anavyowafahamu.

Kumlazimisha mwanamke kusimama kwenye nafasi yake kimaandiko, na KITAMADUNI ZA AFRIKA SI UKATILI, NA SI UKANDAMIZAJI. Ni kuinusuru jamii na kizazi cha miaka ijayo, kwani hali hii ya sasa na hili vugu vugu likiendelea, Afrika naiona ikiangamia mbeleni, na rangi nyeusi itatoweka.

Sehemu yoyote yenye ukinzani lazima ugomvi uwepo, angalia rate ya mauaji ya wanandoa dunia hii ya sasa, angalia namna vijana wa kiume wanaozaliwa, wanavyokosa maadili ya kiasili ya mwanaume wa kiafrika?

Angalia misemo ya kishetani inayokua kila siku? 'Hakuna anachoshindwa mwanamke, anaweza kufanya kama mwanaume na zaidi', ni ushenzi.

ITOSHE KUSEMA AFRIKA TUMECHEZEWA SANA NA HAWA WA MAGHARIBI, TUMEKOSA KUSIMAMIA TAMADUNI ZETU ZA ASILI ZENYE KUJALI HESHIMA, UTU, ADABU, UPENDO NA MSHIKAMANO.

TUJIULIZE MBONA URUSI NA CHINA HAWACHEZEWI HOVYO HOVYO? MBONA KUNA UKANDAMIZAJI WA WANAWAKE(KAMA WANAVYOITA WENYEWE), ILA HAWAINGILIWI?

TUAMKE, TURUDIE ASILI YETU, HAKI SAWA NI PROPAGANDA YA KUWANYIMA SAUTI WANAUME WENGI WA KIAFRIKA, HATUPO SAFE, MAUAJI YATAZIDI MNO KWA TREND HII YA SASA. HIVI HAMJIONEI? Tuendelee[emoji116][emoji116][emoji116]

Jiulize kwa nini siku hizi majina kama vibamia yamekuwa mengi? Siku hizi wanawake wanatoa siri za waume zao kuliko zamani, unajua kwa nini? Haki sawa! Hii yote ni kuhakikisha jamii inamdharau mwanaume, ikiwemo kumpotezea kujiamini mbele za watu na kwa mkewe.

Hii ni kufanya fadheha alizopata mwanamke na mwanaume apate ili wawe sawa na iwe rahisi kupoteza kujiamini kwake.

Tafadhali, vijana msiache mfumo dume. Maamuzi 98% asikudanganye mtu, unatakiwa uyatoe wewe, mkeo akichelewa kurudi pasi taarifa ni lazima uulize alikuwa wapi, hata kama na wewe ulishawahi kurudi na hakukuuliza. Na akijibu jeuri usisite kumzaba hata vibao(zingatia usimpige mbele ya watoto), huyo ni mkeo una mamlaka naye, una wajibu wa kumuadhibu kwa maslahi mapana ya familia yako. Usimuogope, narudia, usimuogope mkeo, piga makofi mpaka mashavu yawe mekundu.

Akitaka kutoka ni wajibu na haki yako kuombwa RUHUSA, iwe yeye ndio ana kazi, au wewe ndio una kazi. Na kama unaona aendako hakuna tija kwake wala kwa familia, mzuie asiende, kuwa mwanaume halisi wa kiafrika.

Ila wewe huna ulazima wa kuomba RUHUSA, ila mpe taarifa. Ifike wakati hata muda mwingine dada wa kazi anapumzika, anapika mkeo chakula chako, hayo ndiyo maisha yaliyonyooka.

Amkeni, don't be fooled! Hao wanaopigania haki sawa wenyewe hawakubali kupandiwa au kutoa 50% za maamuzi kwa wake zao. Na kwa wanawake, wengi wa aina hii wameshindikana, jeuri na hawana adabu.

Hii haki sawa ni mpango wa kuwaburuza wanaume wajinga ambao ndio wanaonekana kuwa wengi kwa sasa. Shtuka! Unafikiri Biden au Obama wamewapa wake zao 50% za maamuzi? Kila upuuzi wanausukumia Afrika!

Amkeni, hakuna haki sawa, MWANAUME SIMAMA KWENYE NAFASI YAKO, MKEO ANATAKIWA AFUATE AMRI YAKO KWA MAENDELEO CHANYA YA FAMILIA YENU.

WAKATI MWINGINE HAKUNA HAJA YA KUMSHIRIKISHA KILA KITU, ANASHTUKA KITU KIMEFANYIKA TAYARI, PLEASE! USIKUBALI HAKI SAWA, WACHACHE WATANIELEWA HAPA.

Haya, ukikubali sawa ukikataa sawa! Mimi nakwenda.
Tushaingia mfumo jike, kijana analelewa na jimama kazi zake chache kumliwaza jimama na kulinda mipaka ya nyumba basi, kijana anajiongeza anashinda anapiga mitungi na mihadarati.
 
Je kwa sisi tuliokosea kuoa tuna comment wapi.

Ukipiga chini uanze upya unawaonea huruma watoto wako watakuwa single mothers. Mimi nadhani suala la uanaume wako lipo kwenye mind zaidi.
You're wrong, unaonekana huyo ulimzoesha mwenyewe kuwa hivyo.
 
Ahsante MKUU .. makala mengi nimesoma leo hii nimepata kitu.. shukrani sana na wanashindwa kuelewa kwa nini? Mwanaume anatoa mahali na mwanamke anatoka kwao anakuja kwako.. kuna watu wachache wasielewa wanavuruga taratibu.. mwanaume unapigwaje? Vibao na mke wako.. uzembe tu wakutotaka kujishughulisha.. Asante mkuu
Ndio hivyo mkuu!
 
Tushaingia mfumo jike, kijana analelewa na jimama kazi zake chache kumliwaza jimama na kulinda mipaka ya nyumba basi, kijana anajiongeza anashinda anapiga mitungi na mihadarati.
Huu upuuzi enzi za ule wanaouita mfumo dume haukuwepo. Kijana ukionekana lelemama na si muwajibikaji, utaitwa mbele ya jopo la wazee wenye hekima na kuonywa vikali, na hata kupewa adhabu ikiwemo kutengwa na vijana wenzako. Haya ndiyo yalikuwa maisha.
 
Kidini women empowerment imeasisiwa na freemason kwa ajenda kuu ni kubomoa ndoa na misingi ya familia.
Shetani apendi ndoa,ndoa ni ibada ya kumuabudu Mwenyezi Mungu.
 
Hakunaga haki sawa kwangu mm. Nakuletea chakula, nasomesha watoto, nimekulipia mahati halafu eti maamuzi ndani ya nyumba yawe 50/50.

50/50 labda utoke nyumban kwangu.
 
Kidini women empowerment imeasisiwa na freemason kwa ajenda kuu ni kubomoa ndoa na misingi ya familia.
Shetani apendi ndoa,ndoa ni ibada ya kumuabudu Mwenyezi Mungu.
Hatari, hawa wapuuzi baada ya kupora ule mchoro wa hekalu kutoka kwa Hiram Habeev wamekuwa na nguvu.
 
Hakunaga haki sawa kwangu mm. Nakuletea chakula, nasomesha watoto, nimekulipia mahati halafu eti maamuzi ndani ya nyumba yawe 50/50.

50/50 labda utoke nyumban kwangu.
Yes, hii isiishie hapa. Ni wakati wa kumkomboa kijana wa kiafrika.
 
Hatari, hawa wapuuzi baada ya kupora ule mchoro wa hekalu kutoka kwa Hiram Habeev wamekuwa na nguvu.
Kazi ya lilith hii baada ya kumdrive Sana Adam akavuta chombo kingine Hawa.
Lilith akaapa atapambana na uzao wa Hawa.Lilith anawatumia freemason kuhakikisha ana mbomoa mwanaume.
 
Huu upuuzi enzi za ule wanaouita mfumo dume haukuwepo. Kijana ukionekana lelemama na si muwajibikaji, utaitwa mbele ya jopo la wazee wenye hekima na kuonywa vikali, na hata kupewa adhabu ikiwemo kutengwa na vijana wenzako. Haya ndiyo yalikuwa maisha.
Sasa hivi mpaka vijana wenye ajira zao wanataka kulelewa
 
Watajaribu sana kuweka usawa lakini hawatashinda sbb mwanaume hajachagua yeye mwenyewe bali Muumbaji!

Walitoka mifupani mwetu hawana ujanja bali mbio za muda mfupi tu,
Hata kama nafasi zote za uongozi watajijaza wao ni kwa muda tu, automatically mwanaume utachukua nafasi yake bila kutumia nguvu yyt.

Mwanaume hatakiwi kuwa na chama cha kumtetea, yy ni mshindi zamani ,sasa na hata milele.

Sauti nzito ina maana yake na si bure, kitu adimu hakitengenezwi kwa wingi, ndio maana wanaume ni wachache kuliko jinsia ile nyingine.

Huwezi kukuta popote mwanaume anadai haki sawa maana yeye ni kiongozi hata kama hayuko mamlakani,
Huwezi kukuta chama cha wanahabari wanaume,wanasheria, madaktari,wachimba madini nk!

Mwanaume ndiye anayetunza akiba ya wanadamu ktk dunia hii, bila yeye hakuna watu.
 
Back
Top Bottom