Vijana wangu msiuache mfumo dume

Vijana wangu msiuache mfumo dume

Tolate!!!, Adam alikubali kula tunda akaungana na Eva, Sasa hivi wanaume wamekubali kusaidiwa majukumu yao na wake zao tayari wameungana na hiyo 50/50, imagine zamani kabla ya kuoa lazima mwanaume awe juu kiuchumi na aliandaa mazingira ya yeye kuwa kichwa cha familia ila Sasa kunawengine mpaka mahari na vitanda vinatoka kwa mwanamke Sasa hapo hiyo 50/50 kwanini isimuhusu? Nguvu ya mwanaume ya kufanya kazi sasa

Isa 4:1​

Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu
 

Isa 4:1​

Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu
Acha inyeshe!
 
Sijawahi kuamini katika kinachoitwa haki sawa,au usawa wakijinsia kwasababu najua hakuna hicho kitu.Hayo mambo yabaki uko kwenye vyeo naporojo zakisiasa ambazo kimsingi hazitokani na maisha halisi.Lakini pia sio sahihi kutupa lawama kwa wazungu kwasababu ya ujinga wetu.kinachoendelea sasa ni matokeo ya ujinga wetu wenyewe.Tungekua tunajitambua na kujielewa kamwe kusingekua na propaganda chafu ambayo ingeletwa tukaipokea.ila kwavile hatujielewi matokeo ndo haya leo tunajadili jambo lililosababishwa na sisi wenyewe.Kwahiyo badala yakutumia nguvu kulalamikia wengine tuwekeze nguvu zakuelimisha jamii na kusimamia misingi na wajibu wakijinsia.Tukiendekeza huu ujinga wausawa wakijinsia atakayeumia ni mwanamke kwasababu mwanamke ana mahitaji mengi yakijamii anayoyategemea toka kwa mwanaume kuliko mwanaume,sasa itafika kipindi mwanaume hataona tena thamani adhimu ya mwanamke.Sasa niujinga kujadili haki za mwanamke kwakumlinganisha na mwanaume.Wanaume tujitambue natusimame kwenye wajibu wetu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kuamini katika kinachoitwa haki sawa,au usawa wakijinsia kwasababu najua hakuna hicho kitu.Hayo mambo yabaki uko kwenye vyeo naporojo zakisiasa ambazo kimsingi hazitokani na maisha halisi.Lakini pia sio sahihi kutupa lawama kwa wazungu kwasababu ya ujinga wetu.kinachoendelea sasa ni matokeo ya ujinga wetu wenyewe.Tungekua tunajitambua na kujielewa kamwe kusingekua na propaganda chafu ambayo ingeletwa tukaipokea.ila kwavile hatujielewi matokeo ndo haya leo tunajadili jambo lililosababishwa na sisi wenyewe.Kwahiyo badala yakutumia nguvu kulalamikia wengine tuwekeze nguvu zakuelimisha jamii na kusimamia misingi na wajibu wakijinsia.Tukiendekeza huu ujinga wausawa wakijinsia atakayeumia ni mwanamke kwasababu mwanamke ana mahitaji mengi yakijamii anayoyategemea toka kwa mwanaume kuliko mwanaume,sasa itafika kipindi mwanaume hataona tena thamani adhimu ya mwanamke.Sasa niujinga kujadili haki za mwanamke kwakumlinganisha na mwanaume.Wanaume tujitambue natusimame kwenye wajibu wetu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ameeen!!
 
Vijana wangu, nawahurumia mno na dunia hii tuliyopo sasa. Mfumo dume si kupiga piga wala kunyanyasa wanawake au kutosomesha watoto wa kike, mfumo dume si kutoa maneno ya udhalilishaji kwa wanawake unapolewa. Mfumo dume ni pamoja na kuheshimu wanawake na kuwalinda.

Mfumo dume ni nini?


Ili maisha yaende ni lazima, hususani katika ngazi ya familia, LAZIMA mmoja ajishushe ili maisha yaende. Na maandiko YOTE matakatifu (kwa mnaoamini Mungu) yameshaweka hili bayana.

Wa kujishusha ni mwanamke, kwa nini? Jibu analo Mungu aliyesema iwe hivyo. Matatizo mengi ya siku hizi yanatokana na kutaka kwa hali na mali kumuangusha mwanaume kileleni kwenye nafasi yake ya mamlaka na utawala.

Ndoa zinavunjika siku mpaka siku, kwa wanawake kutaka kuingilia utawala na mamlaka ya waume zao. Kuchelewa kurudi mpaka kurudi asubuhi, kutopika kwa wakati bila taarifa maalumu, na kuwa mkali ukiulizwa sababu.

Yaani katika maamuzi ya familia mwanamke naye anataka ashiriki 50% zote, khaaa! Hii haiwezekani na haitowezekana, na wanawake hawataki kukubali, wanataka wawe sawa kwa kila kitu ukiacha kuzaa na maumbile tu. Zamani ndoa ilikuwa inaheshimika ila si sasa.

Sio kwamba zamani wazee wetu walikuwa wananyanyasa wanawake kama propaganda za magharibi zinavyosema, si kwamba wazee wetu walikuwa hawajastaarabika na hawana akili, si kwamba wazee wetu walikuwa watu wa hovyo hovyo, hapana!

Wazee wetu walisimama KIKAMILIFU kwenye nafasi zao, na waliweka sheria kali za kuwalazimisha bibi zetu wasimame kwenye nafasi zao, hili ndilo feminists huligeuza na kuliita lilikuwa ukandamizaji kwa jinsia ke, kitu ambacho ni totally wrong.

Walitakiwa waanze kumlaumu Mungu na kumuita mkandamizaji, feminists na wafadhili wa haki sawa hawawafahamu wanawake kama Mungu mwenyewe anavyowafahamu.

Kumlazimisha mwanamke kusimama kwenye nafasi yake kimaandiko, na KITAMADUNI ZA AFRIKA SI UKATILI, NA SI UKANDAMIZAJI. Ni kuinusuru jamii na kizazi cha miaka ijayo, kwani hali hii ya sasa na hili vugu vugu likiendelea, Afrika naiona ikiangamia mbeleni, na rangi nyeusi itatoweka.

Sehemu yoyote yenye ukinzani lazima ugomvi uwepo, angalia rate ya mauaji ya wanandoa dunia hii ya sasa, angalia namna vijana wa kiume wanaozaliwa, wanavyokosa maadili ya kiasili ya mwanaume wa kiafrika?

Angalia misemo ya kishetani inayokua kila siku? 'Hakuna anachoshindwa mwanamke, anaweza kufanya kama mwanaume na zaidi', ni ushenzi.

ITOSHE KUSEMA AFRIKA TUMECHEZEWA SANA NA HAWA WA MAGHARIBI, TUMEKOSA KUSIMAMIA TAMADUNI ZETU ZA ASILI ZENYE KUJALI HESHIMA, UTU, ADABU, UPENDO NA MSHIKAMANO.

TUJIULIZE MBONA URUSI NA CHINA HAWACHEZEWI HOVYO HOVYO? MBONA KUNA UKANDAMIZAJI WA WANAWAKE(KAMA WANAVYOITA WENYEWE), ILA HAWAINGILIWI?

TUAMKE, TURUDIE ASILI YETU, HAKI SAWA NI PROPAGANDA YA KUWANYIMA SAUTI WANAUME WENGI WA KIAFRIKA, HATUPO SAFE, MAUAJI YATAZIDI MNO KWA TREND HII YA SASA. HIVI HAMJIONEI? Tuendelee[emoji116][emoji116][emoji116]

Jiulize kwa nini siku hizi majina kama vibamia yamekuwa mengi? Siku hizi wanawake wanatoa siri za waume zao kuliko zamani, unajua kwa nini? Haki sawa! Hii yote ni kuhakikisha jamii inamdharau mwanaume, ikiwemo kumpotezea kujiamini mbele za watu na kwa mkewe.

Hii ni kufanya fadheha alizopata mwanamke na mwanaume apate ili wawe sawa na iwe rahisi kupoteza kujiamini kwake.

Tafadhali, vijana msiache mfumo dume. Maamuzi 98% asikudanganye mtu, unatakiwa uyatoe wewe, mkeo akichelewa kurudi pasi taarifa ni lazima uulize alikuwa wapi, hata kama na wewe ulishawahi kurudi na hakukuuliza. Na akijibu jeuri usisite kumzaba hata vibao(zingatia usimpige mbele ya watoto), huyo ni mkeo una mamlaka naye, una wajibu wa kumuadhibu kwa maslahi mapana ya familia yako. Usimuogope, narudia, usimuogope mkeo, piga makofi mpaka mashavu yawe mekundu.

Akitaka kutoka ni wajibu na haki yako kuombwa RUHUSA, iwe yeye ndio ana kazi, au wewe ndio una kazi. Na kama unaona aendako hakuna tija kwake wala kwa familia, mzuie asiende, kuwa mwanaume halisi wa kiafrika.

Ila wewe huna ulazima wa kuomba RUHUSA, ila mpe taarifa. Ifike wakati hata muda mwingine dada wa kazi anapumzika, anapika mkeo chakula chako, hayo ndiyo maisha yaliyonyooka.

Amkeni, don't be fooled! Hao wanaopigania haki sawa wenyewe hawakubali kupandiwa au kutoa 50% za maamuzi kwa wake zao. Na kwa wanawake, wengi wa aina hii wameshindikana, jeuri na hawana adabu.

Hii haki sawa ni mpango wa kuwaburuza wanaume wajinga ambao ndio wanaonekana kuwa wengi kwa sasa. Shtuka! Unafikiri Biden au Obama wamewapa wake zao 50% za maamuzi? Kila upuuzi wanausukumia Afrika!

Amkeni, hakuna haki sawa, MWANAUME SIMAMA KWENYE NAFASI YAKO, MKEO ANATAKIWA AFUATE AMRI YAKO KWA MAENDELEO CHANYA YA FAMILIA YENU.

WAKATI MWINGINE HAKUNA HAJA YA KUMSHIRIKISHA KILA KITU, ANASHTUKA KITU KIMEFANYIKA TAYARI, PLEASE! USIKUBALI HAKI SAWA, WACHACHE WATANIELEWA HAPA.

Haya, ukikubali sawa ukikataa sawa! Mimi nakwenda.
Ngoja aje THINK Different
 
Sasa hapo si tutakuwa tumezeeka wote mkuu! Jeuri ataitolea wapi? Hata akiileta, msingi nitakuwa nimeshauweka, kama ni watoto watakuwa wameshakua na nitakuwa nimeshawatengenezea future, kifupi wajibu wangu nitakuwa nimetimiza kwa 90%
Tahadhari, mwanamke akiwa bado mtoto wake hajafikia umri kuanzia rika la form 4 au six kwenda juu kidogo makucha hayatowi yote, ila watoto wake wakifika hiyo level sasa ni muda wa kutoa makucha yote, na hakuna kiumbe kinajua kupandikiza chuki kwa watoto dhidi ya mazaz kama mwanamke, so usijiamin sana eti mkizeeka utakuwa ushatengeneza msingi kwa wanao, kuwa makin muda wote na hata ujiandalie namna utajihami vipi pia huko uzeeni huna nguvu tena, nguv na mama kwa watot ni kubwa kuliko ya baba, sabb ni kuwa wao hawaoni tabu kumjaza mtot chuki dhidi ya baba yao na mengi huwa ni uongo, ila baba muda hana wa kumfitini mtoto na mamaake? Take care maisha yako yote dhidi ya mkeo ndio maandiko ya dini yanasema. Wanaume walio wengi hukimbia miji yao uzeeni hata kam ana mali anaziacha anenda kuwa mlinzi na kufia kusikojulikana,
 
Tolate!!!, Adam alikubali kula tunda akaungana na Eva, Sasa hivi wanaume wamekubali kusaidiwa majukumu yao na wake zao tayari wameungana na hiyo 50/50, imagine zamani kabla ya kuoa lazima mwanaume awe juu kiuchumi na aliandaa mazingira ya yeye kuwa kichwa cha familia ila Sasa kunawengine mpaka mahari na vitanda vinatoka kwa mwanamke Sasa hapo hiyo 50/50 kwanini isimuhusu? Nguvu ya mwanaume ya kufanya kazi sasa imehamishiwa kwa kusaidiwa na mwanamke kwa kiasi kikubwa kiasi cha kukubali 50/50 kwa matendo na maneno anasema sitaki 50/50.
Hapo kitaalam ndio kiini cha tatizo...na ndio muarobani pia...ndio suluhisho la ndoa. Hongera sana mkuu
 
Mkuu kwa kabila ulilooa ukijidai unaendekeza mfumo dume utawahi kukutana na malaika gabrieli.

Cha msingi kuwa mpole, niulize mimi hao watu nawajua.
mwanaume ukifikia hatua Kama hii yako ,Basi umeuza cheo chako kwa mkeo!kitakachofuata kubuluzwa na kuaibishwa hadharani. Asili umepotea na inaendelea kupotea,wanaume wamekata tamaa,Sasa wamekubali ku surrender kwa KE, wanaume wamekubali kupinduliwa kicha chini,miguu juu,Allah alisema mwanamke atii kwa mume ,na mwanaume ampende mke,Sasa wanawake wamefuta maagizo ya Allah, na kulazimisha maandiko yao,yaani Sasa hivi iko hivi -mwanaume utii kwa mkeo!! [emoji28]. na Sasa hivi,tuna chui jike kule white house,na chui jike jingine kule mjengoni!! Wanaume tupotupo tu hatujielewi na hatushtuki nn kinaendelea!!! [emoji23][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom