Watajaribu sana kuweka usawa lakini hawatashinda sbb mwanaume hajachagua yeye mwenyewe bali Muumbaji!
Walitoka mifupani mwetu hawana ujanja bali mbio za muda mfupi tu,
Hata kama nafasi zote za uongozi watajijaza wao ni kwa muda tu, automatically mwanaume utachukua nafasi yake bila kutumia nguvu yyt.
Mwanaume hatakiwi kuwa na chama cha kumtetea, yy ni mshindi zamani ,sasa na hata milele.
Sauti nzito ina maana yake na si bure, kitu adimu hakitengenezwi kwa wingi, ndio maana wanaume ni wachache kuliko jinsia ile nyingine.
Huwezi kukuta popote mwanaume anadai haki sawa maana yeye ni kiongozi hata kama hayuko mamlakani,
Huwezi kukuta chama cha wanahabari wanaume,wanasheria, madaktari,wachimba madini nk!
Mwanaume ndiye anayetunza akiba ya wanadamu ktk dunia hii, bila yeye hakuna watu.