Tetesi: Vijana wapanga mageuzi 2020

Anaongea habari nyeti bila ushahidi wowote.


Na tushaanza kumfatilia taratibu taratibu lazima akalijibu suala hili mahakamani hatutamuacha hivi hivi
Usipige watu mikwara mbuzi, hakuna nyeti yoyote ilizungumzwa hapo.

Btw matokeo ya Rais hayahojiwi mahakamani. Hata mtu akitamka hadharani kuwa matokeo yamechakachuliwa huna cha kumfanya kwa maana mahakama haisikilizi chochote kinachohusiana na matokeo ya urais.

Hii ni elimu bure nakupa
 
masikini january..kale ka wizara alikopewa kamemficha mbaya.hata akifanya interview kwenye tv/radio unaona kabisa muonekano wake na tone yake ni kama analizimishwa tu kuwa pale.

sio january yule aliyekuwa anazungumza kwa bashasha na majivuno awamu ya jk.
 
Hbar kama hizi mnazitoaga mapma kwa nini? Mnampa nafasi ya mtukufu kujihami
 
Mmebanwa kwenye madawa ya kulevya sasa mnahangaika kwenye chama cha wenzenu.
 
Wameiba kura una uhakika?

Tukikupeleka mahakamani uthibitishe utaweza?
Anaongea habari nyeti bila ushahidi wowote.


Na tushaanza kumfatilia taratibu taratibu lazima akalijibu suala hili mahakamani hatutamuacha hivi hivi
you can be someone full, Nani katajwa hapo,chama gani kimetajwa hapo soma vizuri ndio maana mnaabishwa kila siku na Lissu mahakamani,
wewe unatokwa na povu la nini?
 
you can be someone full, Nani katajwa hapo,chama gani kimetajwa hapo soma vizuri ndio maana mnaabishwa kila siku na Lissu mahakamani,
wewe unatokwa na povu la nini?
Kwani kipi ni chama kipi kipo madarakani?


Wewe subiri zawadi yako hatutakuacha hivi hivi asilani abadani mpaka ukathibitishe mahakamani suala hili.
 
Kwikwikwi kwa kasi ya JPM wanatwanga maji kwenye kinu wakilikoroga atawanyweshwa wenyewe si wanamjua
 
Muache atunze mazingira...mtunza mazingira hapaswi kuwa na kelele
 
Mmmmh. Ilo nalo neno. Mtukufu anadhani Mbowe ndio mpinzani. Kumbe waliokaribu naye ndio wapinzani hasa. Waziri wa Maji anafanya mpango asitembelee radi wa maji
 
Wameiba kura una uhakika?

Tukikupeleka mahakamani uthibitishe utaweza?
Hao walioiba kura wametajwa? Na ni kura zipi za timu ya mpira au SACOSS? Ukienda mahakamani ujipange kwa hoja na ushahidi usije kuwa shahidi SIJUI au UCHWARA!
 
Kwanini wewe umeanza kutoa siri bwana?
 
Hahaha , aisee noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…