Irrelevant thread!uchaguzi wa ndani wa ccm ni 20202?Amani iwe kwenu,
Jf 4ever,
Taarifa za chinichini zinatanabaisha kuwa wale vijana watatu( tatu bomba) toka chama cha kijani, Tayari wameshaanza kujidhatiti ndani na inje ya chama chao ili ifikapo 2020 kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho, Mmoja kati yao aingize jina lake ili kupambana na mtukufu aliyeko madarakani, Kawaida ya chama hiki huwa kinamazoea/busara na kauli mbiu ya kusema "mwacheni mwenyekiti amalizie muda wake" vijana hawa wameapa kupambana na mtukufu hadi tone la mwisho, Madai yao nikwamba kwanini aliwatosa.
Hata baada ya kuiba kura kwa upinzani ili yeye ashinde, Kwanini awateue kuwa mawaziri kwenye wizara zitakazowafanya wasijipatie political influence/umaarufu wa kisiasa kwa jamii, Na mtukufu kuamua kuibua vijana kama akina Bashite na wenzake ili kuzika kabisa ndoto za vijana hawa mashuhuri na wapambanaji wa kweli ndani ya chama kikongwe kabisa barani Africa na Duniani kwa ujumla, Mnyetishaji pia anadodoa kuwa mtukufu tayari ameshawanote na yeye ameahidi kuwatosa hivi punde kwenye nafasi zao hizo, Evidence , Uteuzi wa wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano,
Watatu hawa wanasema tayari wanawabunge na viongozi wengine wengi inje na ndani ya chama wanawaunga mkono hasa kutokana na utendaji dhaifu wa mtukufu na ukiukaji mkubwa wa sheria za inchi migogoro na wapinzani,kauli za kibabe kitendo ambacho kimezorotesha sana uchumi wa watanzania hasa wakipato cha chini na kati,
Nitaendelea kuwalete VUGUVUGU hili kwa kadiri nitakavyonyetishwa
Leta ushahidi ili tuifute hiiMods futa hii mada mara moja inaleta uchochezi,haina ushahidi wowote
Huenda ikawa ni Maono.....ifutweLeta ushahidi ili tuifute hii
Hahah acha kutisha watu kizembe.Anaongea habari nyeti bila ushahidi wowote.
Na tushaanza kumfatilia taratibu taratibu lazima akalijibu suala hili mahakamani hatutamuacha hivi hivi
Wametoswa vipi wakati kila mmoja wao anapokea posho za uwaziri, kama wapo hao 3, sidhani ni hawa ulioorodheshaNaona hapa unawaongelea hawa:
1, Nape Nnauye
2. Mwigulu Nchemba
3.January Makamba
Hawa sidhani kama wapo happy sana awamu hii.
Hawa ni vijana pekee ambao wamejitoa sadaka kumtoa Magu 2020.
Nadhani hata wazee wa chama wako upande wao kwa kiasi kikubwa sana.
DAA NAMKUBARI SANA MZEE BUTIKUmtamalizana wenyewe huko
Chama changu CCM ndiyo gwiji wa rushwa nchini na sioni aibu kusema " by ButikuDAA NAMKUBARI SANA MZEE BUTIKU
ndio mpango wake sasa hivi atakubali kuwa baada ya miaka kumi ataachia madaraka kama wengine ila note ikimalizika 10miaka atasema nafsi inamsuta hawezi kuacha mambo mazuri aliyo ya fanya ya haribiwe na kina!!Namuona mtukufu akijiunga CUF ya lipumba
Hivi kijana Zitto Kabwe alipojipanga kumuondoa Mbowe aliweza!??Amani iwe kwenu,
Jf 4ever,
Taarifa za chinichini zinatanabaisha kuwa wale vijana watatu( tatu bomba) toka chama cha kijani, Tayari wameshaanza kujidhatiti ndani na inje ya chama chao ili ifikapo 2020 kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho, Mmoja kati yao aingize jina lake ili kupambana na mtukufu aliyeko madarakani, Kawaida ya chama hiki huwa kinamazoea/busara na kauli mbiu ya kusema "mwacheni mwenyekiti amalizie muda wake" vijana hawa wameapa kupambana na mtukufu hadi tone la mwisho, Madai yao nikwamba kwanini aliwatosa.
Hata baada ya kuiba kura kwa upinzani ili yeye ashinde, Kwanini awateue kuwa mawaziri kwenye wizara zitakazowafanya wasijipatie political influence/umaarufu wa kisiasa kwa jamii, Na mtukufu kuamua kuibua vijana kama akina Bashite na wenzake ili kuzika kabisa ndoto za vijana hawa mashuhuri na wapambanaji wa kweli ndani ya chama kikongwe kabisa barani Africa na Duniani kwa ujumla, Mnyetishaji pia anadodoa kuwa mtukufu tayari ameshawanote na yeye ameahidi kuwatosa hivi punde kwenye nafasi zao hizo, Evidence , Uteuzi wa wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano,
Watatu hawa wanasema tayari wanawabunge na viongozi wengine wengi inje na ndani ya chama wanawaunga mkono hasa kutokana na utendaji dhaifu wa mtukufu na ukiukaji mkubwa wa sheria za inchi migogoro na wapinzani,kauli za kibabe kitendo ambacho kimezorotesha sana uchumi wa watanzania hasa wakipato cha chini na kati,
Nitaendelea kuwalete VUGUVUGU hili kwa kadiri nitakavyonyetishwa
Unaamrisha wewe nani? NyambafMods futa hii mada mara moja inaleta uchochezi,haina ushahidi wowote
Ukoo wa bashite mnadharau mtaangamiza chamaKichwa cha habari yako kilipaswa kuwa "NYUMBU WATATU WAPANGA MABADILIKO"