Tetesi: Vijana wapanga mageuzi 2020

Tetesi: Vijana wapanga mageuzi 2020

Wamtoe WAP? Ha ha ha mnachekesha maana kumtoa mwenyekiti Ili asiwe mwenyekiti haiwezekana maana anaeshika madaraka ya nchi kutoka kule Chaman ndie anaepewa uenyekiti,,,na kama ni kugombea urais haiwezekana maana ni miaka kumi mpaka iishe ndio ataondka.... Mnajibaaaaaana halaf mnajitekenya wenyewe na kuwaachia watu wacheke
 
Amani iwe kwenu,

Jf 4ever,

Taarifa za chinichini zinatanabaisha kuwa wale vijana watatu( tatu bomba) toka chama cha kijani, Tayari wameshaanza kujidhatiti ndani na inje ya chama chao ili ifikapo 2020 kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho, Mmoja kati yao aingize jina lake ili kupambana na mtukufu aliyeko madarakani, Kawaida ya chama hiki huwa kinamazoea/busara na kauli mbiu ya kusema "mwacheni mwenyekiti amalizie muda wake" vijana hawa wameapa kupambana na mtukufu hadi tone la mwisho, Madai yao nikwamba kwanini aliwatosa.

Hata baada ya kuiba kura kwa upinzani ili yeye ashinde, Kwanini awateue kuwa mawaziri kwenye wizara zitakazowafanya wasijipatie political influence/umaarufu wa kisiasa kwa jamii, Na mtukufu kuamua kuibua vijana kama akina Bashite na wenzake ili kuzika kabisa ndoto za vijana hawa mashuhuri na wapambanaji wa kweli ndani ya chama kikongwe kabisa barani Africa na Duniani kwa ujumla, Mnyetishaji pia anadodoa kuwa mtukufu tayari ameshawanote na yeye ameahidi kuwatosa hivi punde kwenye nafasi zao hizo, Evidence , Uteuzi wa wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano,

Watatu hawa wanasema tayari wanawabunge na viongozi wengine wengi inje na ndani ya chama wanawaunga mkono hasa kutokana na utendaji dhaifu wa mtukufu na ukiukaji mkubwa wa sheria za inchi migogoro na wapinzani,kauli za kibabe kitendo ambacho kimezorotesha sana uchumi wa watanzania hasa wakipato cha chini na kati,

Nitaendelea kuwalete VUGUVUGU hili kwa kadiri nitakavyonyetishwa
Irrelevant thread!uchaguzi wa ndani wa ccm ni 20202?
 
Anaongea habari nyeti bila ushahidi wowote.


Na tushaanza kumfatilia taratibu taratibu lazima akalijibu suala hili mahakamani hatutamuacha hivi hivi
Hahah acha kutisha watu kizembe.
 
Kichwa cha habari yako kilipaswa kuwa "NYUMBU WATATU WAPANGA MABADILIKO"
 
Naona hapa unawaongelea hawa:
1, Nape Nnauye
2. Mwigulu Nchemba
3.January Makamba

Hawa sidhani kama wapo happy sana awamu hii.
Hawa ni vijana pekee ambao wamejitoa sadaka kumtoa Magu 2020.
Nadhani hata wazee wa chama wako upande wao kwa kiasi kikubwa sana.
Wametoswa vipi wakati kila mmoja wao anapokea posho za uwaziri, kama wapo hao 3, sidhani ni hawa ulioorodhesha
 
Namuona mtukufu akijiunga CUF ya lipumba
ndio mpango wake sasa hivi atakubali kuwa baada ya miaka kumi ataachia madaraka kama wengine ila note ikimalizika 10miaka atasema nafsi inamsuta hawezi kuacha mambo mazuri aliyo ya fanya ya haribiwe na kina!!
 
Amani iwe kwenu,

Jf 4ever,

Taarifa za chinichini zinatanabaisha kuwa wale vijana watatu( tatu bomba) toka chama cha kijani, Tayari wameshaanza kujidhatiti ndani na inje ya chama chao ili ifikapo 2020 kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho, Mmoja kati yao aingize jina lake ili kupambana na mtukufu aliyeko madarakani, Kawaida ya chama hiki huwa kinamazoea/busara na kauli mbiu ya kusema "mwacheni mwenyekiti amalizie muda wake" vijana hawa wameapa kupambana na mtukufu hadi tone la mwisho, Madai yao nikwamba kwanini aliwatosa.

Hata baada ya kuiba kura kwa upinzani ili yeye ashinde, Kwanini awateue kuwa mawaziri kwenye wizara zitakazowafanya wasijipatie political influence/umaarufu wa kisiasa kwa jamii, Na mtukufu kuamua kuibua vijana kama akina Bashite na wenzake ili kuzika kabisa ndoto za vijana hawa mashuhuri na wapambanaji wa kweli ndani ya chama kikongwe kabisa barani Africa na Duniani kwa ujumla, Mnyetishaji pia anadodoa kuwa mtukufu tayari ameshawanote na yeye ameahidi kuwatosa hivi punde kwenye nafasi zao hizo, Evidence , Uteuzi wa wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano,

Watatu hawa wanasema tayari wanawabunge na viongozi wengine wengi inje na ndani ya chama wanawaunga mkono hasa kutokana na utendaji dhaifu wa mtukufu na ukiukaji mkubwa wa sheria za inchi migogoro na wapinzani,kauli za kibabe kitendo ambacho kimezorotesha sana uchumi wa watanzania hasa wakipato cha chini na kati,

Nitaendelea kuwalete VUGUVUGU hili kwa kadiri nitakavyonyetishwa
Hivi kijana Zitto Kabwe alipojipanga kumuondoa Mbowe aliweza!??
 
Uongo mtupu, hakuna ukweli wowote hapo, una nia ovu ya kutaka kuwachonganisha na m/kiti wa chama chao.
 
None of them - atakayeibuka hatatoka miongoni mwa waliotajwa, hatakuwa mtu toka nafasi ya juu serikalini, atatokea nafasi za kawaida kwenye kundi la watu maskini kabisa.

Wekeni hii live mtaniambia kitambo
 
Back
Top Bottom