Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.
Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.
Kuna Angola maisha yako njema.
Botswana pesa nje nje.
Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.
Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.
Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.
Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.
Wafanyabishara nendeni Zambia.
Wahandisi nendeni South Africa.
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.
Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.
Kuna Angola maisha yako njema.
Botswana pesa nje nje.
Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.
Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.
Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.
Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.
Wafanyabishara nendeni Zambia.
Wahandisi nendeni South Africa.