Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.

Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.

Kuna Angola maisha yako njema.

Botswana pesa nje nje.

Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.

Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.

Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.

Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.

Wafanyabishara nendeni Zambia.

Wahandisi nendeni South Africa.
 
GO-KKkuXMAA_vNx.jpeg
 
Kuna Angola maisha yako njema.
Angola maisha ni very expensive sio kama Muha anatoka Kigoma na shangazi kaja na mjini anaishi. Angola haiko hivyo
Botswana pesa nje nje
Huku sawa.
Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.
Kwa waliozoea umbea na udaku nje watapata shida. Hata hivyo mtu anaweza enda kule akakaa muda mfupi akarudi na kitu
Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.
Wanasheria wa Tanzania waende Msumbiji kufanya nini ama kuosha vyombo?
 
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.
Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.
Kuna Angola maisha yako njema.
Botswana pesa nje nje
Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.
Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.
Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.
Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.
Wafanyabishara nendeni Zambia.
Wahandisi nendeni South Africa.
Hili nalo neno🤔! Najiuliza tu mfano maEngineer ukienda hata nchi za Malawi, Zambia, Zimbabwe sidhani kama utakosa kazi hasa sector binafsi. Mbona waKenya wapo wengi tuu TZ. Naunga mkono hoja, tatizo letu uoga.
 
Hili nalo neno🤔! Najiuliza tu mfano maEngineer ukienda hata nchi za Malawi, Zambia, Zimbabwe sidhani kama utakosa kazi hasa sector binafsi. Mbona waKenya wapo wengi tuu TZ. Naunga mkono hoja, tatizo letu uoga.
Engineer unsjitolea miaka 4 kwa malipo ya laki 3 na nusu una akili kichwani?
Nenda kapokee midola huko South Africa
 
Angola maisha ni very expensive sio kama Muha anatoka Kigoma na shangazi kaja na mjini anaishi. Angola haiko hivyo

Huku sawa.

Kwa waliozoea umbea na udaku nje watapata shida. Hata hivyo mtu anaweza enda kule akakaa muda mfupi akarudi na kitu

Wanasheria wa Tanzania waende Msumbiji kufanya nini ama kuosha vyombo?
Engineer unsjitolea miaka 4 kwa malipo ya laki 3 na nusu una akili kichwani?
Nenda kapokee midola huko South Africa
Hata Malawi hapo karibu tena unaenda kwa basi, unakula KWACHA za kutosha
 
Back
Top Bottom