Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Vijana wasomi msio na ajira maisha hayapo Bongo tu. Unaweza kuzamia nchi jirani ukaishi vizuri. Dunia yote ya Mola mipaka ipo ili kuleta utulivu

Alikua hataki kufanya kazi na wewe😁Mkongo akitaka kukukimbia anakwambia Tsekedi anasumbua security hamna, dollar imeadimika au mzigo haufiki
Hapana. Huyo dogo ni rafiki yangu hata nje ya biashara. Na ni kweli kwa alichokuwa ananiambia.
 
Na sisi tusio na elimu twende wapi?🥹🥹
Kuna watu nawafahamu hawana elimu zaidi ya darasa la 7 wao walizamia msumbiji wakawa wanachukua vitu mbalimbali kkoo km simu,vyombo vya ndani,jinsi chaja za simu wakawa wanaenda nazo kule walijunza kila kitu hukohuko wamejenga majumba 2 Dar za vyumba 8 kl moja moja wamepangisha nzima nyingine upande mmoja ili wakiwa wanarejea wapate pakuishi
Mwingjne anapeleka vyombo vya ndani malawi so it’s your choice km unataka ukawe karani wa mwenzio or utafute hela na kua karani mwenyewe
 
Na sisi tusio na elimu twende wapi?🥹🥹
Kuna watu nawafahamu hawana elimu zaidi ya darasa la 7 wao walizamia msumbiji wakawa wanachukua vitu mbalimbali kkoo km simu,vyombo vya ndani,jinsi chaja za simu wakawa wanaenda nazo kule walijunza kila kitu hukohuko wamejenga majumba 2 Dar za vyumba 8 kl moja moja wamepangisha nzima nyingine upande mmoja ili wakiwa wanarejea wapate pakuishi
Mwingjne anapeleka vyombo vya ndani malawi so it’s your choice km unataka ukawe karani wa mwenzio or utafute hela na kua karani mwenyewe
 
Hello!
Huu ndio ukweli kuwa vijana wasomi wa Zanzibar hawana changamoto ya ukosefu wa ajira kama ilivyo vijana wa Tanganyika a.k.a bara.

Vijana ombeni kibali cha ukaazi wa Zanzibar, wengine nendeni Gado(Msumbiji) kuna fursa kedekede, Msumbiji kuna amani kwa 98 %, ni sehemu ndogo tu ndio iko hovyo baada ya IS kuweka kambi.

Kuna Angola maisha yako njema.

Botswana pesa nje nje.

Siwashauri muende huko Ng'ambo kwa wazungu ambako kuna upweke mkubwa.

Fundi yeyote nenda Angola utanishukuru.

Daktari, muuguzi, watu wa maabara n k nendeni Botswana.

Wanasheria , walimu nendeni Msumbiji.

Wafanyabishara nendeni Zambia.

Wahandisi nendeni South Africa.
Waanze kwanza kwa kuzamia DAR ES SALAAM
 
Huwa najutia sana wakati ule napata fursa za kwenda nje nazikataa kisa najiona mzalendo eti naipenda nchi yangu nitapambana hapa hapa.

Kumbe...

Aisee wewe Acha tu....

Mtu ukipata nafasi ya kwenda nje ya nchi nenda tu.

Kubakia hapa utaishia kuwa chawa wa wenye nchi ambao wao na familia zao tayari wameshajihakikishia maisha.
 
Kuna watu nawafahamu hawana elimu zaidi ya darasa la 7 wao walizamia msumbiji wakawa wanachukua vitu mbalimbali kkoo km simu,vyombo vya ndani,jinsi chaja za simu wakawa wanaenda nazo kule walijunza kila kitu hukohuko wamejenga majumba 2 Dar za vyumba 8 kl moja moja wamepangisha nzima nyingine upande mmoja ili wakiwa wanarejea wapate pakuishi
Mwingjne anapeleka vyombo vya ndani malawi so it’s your choice km unataka ukawe karani wa mwenzio or utafute hela na kua karani mwenyewe
Vijana kabla hamjafika 40s msiache fursa ya biashara Malawi,Zambia,Congo. Msiache hio fursa,kama unaweza kufanya biashara Tz na unapata hela tanua wigo nje ya nchi.
 
Hao jamaa zako inabidi uniunganishe nao mkuu.
Pana jamaa angu anatoa Unga hapo Sumbawanga anapeleka Congo hapo Kasumbalesa anauza 30 usd kwa 25kg ila Wakongo wanataka unga ulio na chenga chenga sio kama wa huku kwetu tunasaga unakua Unga kabisaa...hii ni ya juzi maana nilikua nae pale Kapiri Mposhi kabla sijaanza safari ya kurudi Tanzania wao walikua wanapeleka Sembe DRC..
 
Yaani ukose maisha hapa Tanzania utegemee nje yake na ndani mwa Africa ambako ukilinganisha basi Tanzania ni paradise? Nah!
 
Wakatisha tamaa ni wale hata kupanda basi kwenda mkoani hajawahi
 
Back
Top Bottom