Vijana watano (below 40 years) wanaofaa kwa nafasi ya Katibu Mkuu CCM taifa



Nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama sio ya watoto. Hapo namuona Dr. Slaa kwa mbaaaliii.... Au January Makamba au Nape
 
Duh kwa Namba 1 & 5 hamna kitu hapo

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Mwandishi wa hii makala ni bashite mwenyewe au mtu wake wa karibu. Nasema hivyo kwani mtu mwenye ufahamu hawezi kumpendekeza huyu mtu.
 
Hapo ni Pole pole tu , Uenezi ni Makonda
 
WAPIGA RAMLI MNA KAZI, JIWE ATATOKA KIVINGINE MTASHANGAA
 
Kigogo anaweza akawaharibia wote kama alivyomharibia Kidata

Mtu akitaka kukuahribia uteuzi wowote ampe jina Kigogo atangaze, inakuwa mwisho wa uteuzi
 

Hizi takwimu za sensa ipi!!
 
Sipangiwi cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…