Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni shoga?Thread Kama izi mimi ndo naziita za kishoga!!
Tunaomba listi au majina ya vijana angalau 20 tu, na taaluma zao ambao wanaweza kuleta mabadiliko makubwa katika nchi yetu kutokana na uwezo walionao. Hii listi tutaipeleka kwa waziri mkuu pamoja na Rais mwenyewe, ili waone jinsi serikali yetu legelege inavyo poteza rasilimali watu, huku ikifaidisha raia wa nchi nyingine. Ukizingatia rais amekuwa akiwaimiza vijana warudi bila kuangalia sababu za msingi ambazo zinawazuia vijana kurudi. Mtu hawezi kuacha $6,000 kwa mwezi arudi hapa kupigania Tsh. 1.2 Tenesco, wakati expatriate analipwa $15,000 kwa mwezi na marupurupu kibao....tunaomba top-20 names ya kuanzia
1. William Malecela, Seaman & Engineer (tumeonana weekend, ilopita Amesharudi kujenga taifa)
2................
3.................
4...............
5................
6................
7...............
8.................
9..............
20............
Lakini unapenda udaku kiasi kuwa huwi kama hao wenyeji wako! Unafatilia nini tena mambo ya Tanzania?Sina mpango wa kurudiTanzania.
Wanarudi kwao kusalimu ndungu , jamaa na marafiki ...
We unauhakika gani wanataka kurudi na kufanya kazi Tanzania?
March 7mange kimambi
2 john mashaka
3 hashimu thabeet
mange kimambi
Pengine hilo la kufanya kazi ndio hawaliwezi. Wakiwa na pesa za kutosha kuja kutanuwa huwa wanarudi haraka!