Pre GE2025 Vijana Wazalendo wenye nia ya dhati kugombea nafasi ya Ubunge au Udiwani njooni hapa tupeane mawazo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pole Mkuu, usikate tamaa.
 
Hakuna uzalendo kwenye siasa, wote kinacho wapeleka kwenye siasa ni Njaa, kwa sasa kama unataka maendeleo basi fungua Kanisa au ingia kwenye siasa, biashara zingine zote ni kupoteza muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…