Wajumbe wajumbe wajumbe.. Kama unataka Jimbo kupitia CCM basi jipange na hawa watu.. Wajumbe sio watu wazuri . Wajumbe hawatabiriki..
Walinipa kura 0 japo wapo nilosoma nao.. Nilioishi nao Jirani.. Niliokesha nao nikiwapa K Vqnt pamoja na posho.. Wapo pia niliogharamia usafiri wao nk.. Na bado nikaambulia 0..
Hakuna uzalendo kwenye siasa, wote kinacho wapeleka kwenye siasa ni Njaa, kwa sasa kama unataka maendeleo basi fungua Kanisa au ingia kwenye siasa, biashara zingine zote ni kupoteza muda tu.