Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji419][emoji419][emoji419] tena bora wawe na hela ..atleast..
Wanaringa balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji419][emoji419][emoji419] tena bora wawe na hela ..atleast..
Wanaringa balaa
Ndo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.Kwanza mwanaume unakuwaje mweupe[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Ewaaah... Mwanaume mweupe anaringa na bado wanawake watajisogeza maana wanajua kabisa ukiachana na mwanaume mweupe haichukui muda wanawake wanajiweka.[emoji419][emoji419][emoji419] tena bora wawe na hela ..atleast..
Wanaringa balaa
Wacha we!!Ndo mnavyojipaga moyo hivyo ila hata ujifariji ukweli upo pale pale mwanaume mweupe anapendwa sana na wanawake na ndo maana mwanaume mweupe akimtongoza msichana mweusi huyo msichana anakuwa haamini kama kweli ni yeye amepata bahati yakutongozwa.
Ukweli upo wazi wanaume weusi hawajiamini ndo maana wanajikoboa kila siku wawe angalau na kaweupe fulani avutie wasichana.
Huyu mimi hata nimkute uch. i simfanyi chochote. Sina mzuka kabisa na mademu weusi aise.
Mimi niwekee hapa mwanaumr mweusi na mweupe naenda kwa mweusi...Ewaaah... Mwanaume mweupe anaringa na bado wanawake watajisogeza maana wanajua kabisa ukiachana na mwanaume mweupe haichukui muda wanawake wanajiweka.
Hili nina ushahidi nalo kuanzia primary hadi chuo nimekuwa nikibabaikiwa sana na wasichana kwasababu ya weupe tu.
Na kiburi ninacho kweli lakini ntabembelezwa weeee hata kama kosa langu.
Ukweli mchungu tuache kujifariji maana kuwa mweusi tu inaonekana kama ni laana hivi. Yaani kama binadamu wa nyongeza tu.
Miafrika ndivyo tulivyo.Vijana wa kiume na wa kike sasa hivi wanajichubua kwasababu ya ubaguzi na upendeleo unaokuwepo ktk jamii
Mfano unakuta mtoto anakosea mzazi anamwambia kwamba amefanya hivyo na ndo maana tu mungu alimuumba mweusi
Mweusi kama chungu cha mchawi
Wewe ni mweusi hadi huko rohoni kwangu
Una uzuri gani wewe mweusi kama mkaa!
Tatizo wewe ni mweusi sana yaani mbayaa
Ila jamaa wewe ni mweusi aisee sijui huko kwenu ulitokea wapi
Wazazi wako sisi ni weupe hata sijui ilikuaje tukakuzaa ww ukawa mweusi kuliko watoto wote
Wazazi na jamii kuonyesha mapenzi kwa watoto au watu weupe huku wale weusi wakiachwa tu unakuta mzazi anampenda mtoto mweupe na kuonyesha mapenzi ya waziwazi dhidi ya yule mweusi.
Jamii ya kitanzania inaongoza kwa kuwabagua watu weusi nazungumzia mtu ambaye ni mweusi yaani cheusi mangala
Huko mashuleni ndo usiseme na utani wa hapa na pale, ukigombana tu na mtu cha kwanza anaanza kukushambulia na ngozi yako kwanza kwenda huko ndo maana wewe ni mweusi, peleka weusi wako huko, lione leusi.
Mwishoni kaka wa watu au dada wa watu anaanza kujichubua tu, ubaguzi unauma sana asikwambie mtu bora hata kuuawa kuliko kubaguliwa au maneno ya ubaguzi
Hao wanaume weusi wenyewe wanasema kwa rangi zao kuoata mademu wakali tena weupe ni ngumu mno ndo maana ili mwanaume mweusi amiliki demu mzuri lazima apambane sana apate hela ili iwe kama kivutio.[emoji419][emoji419][emoji419] tena bora wawe na hela ..atleast..
Wanaringa balaa
Hata kama sipendwii ukubwani. Mungu alinibariki Utotoni nikigusa tu mlikuwa mnapanua fasta.Sio hivyoo
We jamaa kwa kujipigia promo... Labda mademu wa kijijin. Mjini mademu hawataki uwe hivyoWana viganja lainiiiii arghhh..raha men kiganja kiwe kikavuu kigumuu
😃😃😃 dizaini limekushikaaa..easy mzeeHao wanaume weusi wenyewe wanasema kwa rangi zao kuoata mademu wakali tena weupe ni ngumu mno ndo maana ili mwanaume mweusi amiliki demu mzuri lazima apambane sana apate hela ili iwe kama kivutio.
Lakini kwa mwanaume mweupe hahitaji ulazima wa pesa kumiliki demu mkali anachohitaji ni weupe wake tu kuwagonganisha warembo.
Ukweli uachwe kuwa hivyo maana kujifariji kwakuwa umeumbwa mweusi wala haitabadili ukweli.
Umesoma na kuelewa? Au ndo mkurupukoWe jamaa kwa kujipigia promo... Labda mademu wa kijijin. Mjini mademu hawataki uwe hivyo
Huja wahi skia blackbeuty wewe??Vijana wa kiume na wa kike sasa hivi wanajichubua kwasababu ya ubaguzi na upendeleo unaokuwepo ktk jamii
Mfano unakuta mtoto anakosea mzazi anamwambia kwamba amefanya hivyo na ndo maana tu mungu alimuumba mweusi
Mweusi kama chungu cha mchawi
Wewe ni mweusi hadi huko rohoni kwangu
Una uzuri gani wewe mweusi kama mkaa!
Tatizo wewe ni mweusi sana yaani mbayaa
Ila jamaa wewe ni mweusi aisee sijui huko kwenu ulitokea wapi
Wazazi wako sisi ni weupe hata sijui ilikuaje tukakuzaa ww ukawa mweusi kuliko watoto wote
Wazazi na jamii kuonyesha mapenzi kwa watoto au watu weupe huku wale weusi wakiachwa tu unakuta mzazi anampenda mtoto mweupe na kuonyesha mapenzi ya waziwazi dhidi ya yule mweusi.
Jamii ya kitanzania inaongoza kwa kuwabagua watu weusi nazungumzia mtu ambaye ni mweusi yaani cheusi mangala
Huko mashuleni ndo usiseme na utani wa hapa na pale, ukigombana tu na mtu cha kwanza anaanza kukushambulia na ngozi yako kwanza kwenda huko ndo maana wewe ni mweusi, peleka weusi wako huko, lione leusi.
Mwishoni kaka wa watu au dada wa watu anaanza kujichubua tu, ubaguzi unauma sana asikwambie mtu bora hata kuuawa kuliko kubaguliwa au maneno ya ubaguzi
Mimi niwekee hapa mwanaumr mweusi na mweupe naenda kwa mweusi...
Mimi binafsi men akiwa anamaringo nahisigi ana hormonal imbalance! Am sorry
Hapo umezungumza hivyo kwakuwa hujiamini kama mwanaume mweupe anaweza kuwa wa peke yako maana wengi wanamuwinda.Mimi niwekee hapa mwanaumr mweusi na mweupe naenda kwa mweusi...
Mimi binafsi men akiwa anamaringo nahisigi ana hormonal imbalance! Am sorry
Nadhan hapa ww unaongelea age fulan za watoto wa form 2..mm naongelea mwanaumr kama mwaume..wengi huwa nyoronyoro sana..nna experience naoHapo umezungumza hivyo kwakuwa hujiamini kama mwanaume mweupe anaweza kuwa wa peke yako maana wengi wanamuwinda.
Ila ukijimilikisha mwanaume rangi ya lami huyo ni wa peke yako hakuna wanawake watakaomvizia.
Ndo maana hoja yako kuu ni kwamba wanaringa ingawaje kiuhalisia unawapenda kuwa nao ila shida unahofia kuwekwa kando muda wowote.Mimi niwekee hapa mwanaumr mweusi na mweupe naenda kwa mweusi...
Mimi binafsi men akiwa anamaringo nahisigi ana hormonal imbalance! Am sorry