Vijana wengi wa bongo wana uraibu wa pornography?

Vijana wengi wa bongo wana uraibu wa pornography?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Katika mitandao ya kijamii kumekuwepo na tabia ya kundi kubwa la vijana wa Kitanzania kuhabarishana, kuombana, kusherehesha na kugaiana video za pornography za watu mbalimbali ambazo wao wanaita "connection".

Hizo "connections" zenyewe sio hata za watu maarufu wenye athari zozote katika maisha yao. Vijana wengine wengi wanaoshiriki kwenye hayo mambo ni wanaharakati kabisa wa mambo mbalimbali humo mtandaoni na katika jamii.

Hata nilipokuwa chuo nilikuwa nashuhudia vijana wakipeana sana video za pornography katika flash. Yani kuna watu walikuwa wanahifadhi GB kadha za video za ngono kwenye computer zao wanakuwa wanaziangalia kwa kurudia rudia!

Hii ina maana gani ukizingatia vijana hao wote wengi ni watu waliopita umri wa teenagers?! Je, kuna tatizo kubwa la uraibu wa pornography katika jamii yetu??
 
1717861219404.jpg
 
Hakuna tatizo, wengi waangalia hizo porns ili wajichue vizuri, ikiwemo mie, naepusha kupata magonjwa ya Gono, Kaswende, UTI na HIV
Haiwezekani kujichua bila pornography videos?
 
job nafanyia Tabata aisee, bila morning glory sitaweza
😂😂😂😂

daaah kazini kwako kuna kazi mkuu pisi zimenyooka kama rula usipo toa wenge asubuhi lazima upalamie moja

now I do understand your situation sasa fanya hivi mchek malkia wa industry Mia Khalifa chapu before hujatoka home
 
😂😂😂😂

daaah kazini kwako kuna kazi mkuu pisi zimenyooka kama rula usipo toa wenge asubuhi lazima upalamie moja

now I do understand your situation sasa fanya hivi mchek malkia wa industry Mia Khalifa chapu before hujatoka home
Mkuu siku hizi recorded hazina maajabu ni mwendo wa live sex tu.. Stripchart hasa Kenyan, Columbia, Latin, South African...
 
Back
Top Bottom