Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Vijana wa kike na wakiume hususani mnao ishi hostels mnajichu na kusagana mno. Hali hiyo ni hatari sana kwa afya ya uzazi siku za usoni.
Hali hii inachochea na kushamiri kwa ongezeko kubwa la vijana wengi wa kiume kukosa pumzi, nguvu na stamina ya kujamiiana vizuri na kufika mshindo wa nguvu na tajika kumridhisha mwanamke, huku vijana wa kike nao kutokuridhika kabisa au kutokutosheka na tendo moja au mawili alopewa na kijana wa kiume, hali hiyo inatokana na usugu uliosababishwa na kusagana au kujichua kwa kutumia midoli ya kiume ambayo huharibu pakubwa sura na muonekano wa sehemu zao nzuri za siri walizo jaaliwa na Mungu.
Rai yangu kwa vijana wote. Epukeni mazingira yanayowachochea kukimbilia kujichua au kusagana, Mathalani kuangalia picha za utupu na video za ngono, kupiga chabo watu wanaojamiiana n.k.
Ni vizuri kujikita kwenye masomo zaidi, hasa kujisomea vitabu, makala na majarida mbalimbali ili kujiongezea ujuzi, maarifa, uelewa na ufahamu Juu ya masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni, sayansi na technologia nakadhalika kama mbadala wa wa kujichua au kusagana.
Asante kunielewa....
Hali hii inachochea na kushamiri kwa ongezeko kubwa la vijana wengi wa kiume kukosa pumzi, nguvu na stamina ya kujamiiana vizuri na kufika mshindo wa nguvu na tajika kumridhisha mwanamke, huku vijana wa kike nao kutokuridhika kabisa au kutokutosheka na tendo moja au mawili alopewa na kijana wa kiume, hali hiyo inatokana na usugu uliosababishwa na kusagana au kujichua kwa kutumia midoli ya kiume ambayo huharibu pakubwa sura na muonekano wa sehemu zao nzuri za siri walizo jaaliwa na Mungu.
Rai yangu kwa vijana wote. Epukeni mazingira yanayowachochea kukimbilia kujichua au kusagana, Mathalani kuangalia picha za utupu na video za ngono, kupiga chabo watu wanaojamiiana n.k.
Ni vizuri kujikita kwenye masomo zaidi, hasa kujisomea vitabu, makala na majarida mbalimbali ili kujiongezea ujuzi, maarifa, uelewa na ufahamu Juu ya masuala mbalimbali ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni, sayansi na technologia nakadhalika kama mbadala wa wa kujichua au kusagana.
Asante kunielewa....