Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana

Vijana wengi wameathiriwa na kujichua na kusagana

Hii ishu ni nzito mno. Sema ungekuta nyeto haina madhara ingekuwa njia nzuri ya kujikinga na UKIMWI. Hili gonjwa wakuu bado lipo na linatisha mno. Kuna siku shangazi yangu alikuwa mgonjwa ikawa inahitajika kumchangia damu... nakumbuka kwenye group la vijana kama 8 tuliokuwa salama kuweza kuchangia damu salama tulikuwa watatu tu. Na kwa wakati ule usingeamini watu walikuwa wako vizuri kabisa kwa kuwatazama. Tayari katika hao walisharudisha jezi.

Mimi siwezi nikakomaa 100% kwamba vijana waache nyeto. Ninashauri waliofika umri wa kuoa na tayari wamepata wapenzi wanaoendana basi waoane. Ushauri wa kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu haufai kabisa kwa wakati tuliopo. HAKUNA MPENZI MWAMINIFU. Ukiwa na mpenzi tumia condom. Mke au mume peke yake ndo kula kavu.

Nadhani ni muda wa wataalamu wa Afya kutoka na kueleza msimamo kamili kuhusu nyeto. Watoe ushauri wa njia salama ya kupiga nyeto badala ya kila mara kujitokeza na KUISEMA VIBAYA NYAMA PENDWA KITIMOTO.
 
Mimi nawaonea huruma tu wale wazee wa kataa ndoa, wanaohisi kwamba wakifanya hivyo basi ndio wanawake watajirudi na kuwa na maadili hivyo watawabembeleza wanaume wawaoe, napenda wafahamu tu kuwa tunakoelekea ndio kubaya zaidi hivyo vizazi vinavyokuja ndio kabisa hakuna kubembelezana wala kubow yani

Na huko kwenye usagaji ndiko watakakokimbilia wanawake wengi ambao watakosa ndoa, maana nasikia wengi wanakiri kuwa huko ndiko wanakoridhika zaidi kuliko kwa wanaume ambao ni wabinafsi, wanawaza kuridhika wao zaidi halafu wanaishia kuwachafua tu wanawake bila kuwafikisha vileleni

Mimi nashauri tu kama tumeamua kukataa ndoa basi tuhakikishe tunaikataa kwa dhati na siyo kwa kubeep au kusikilizia upande wa pili utarespond vipi, na kama tumeamua kuyalinda maadili basi wote tuyalinde ipasavyo bila kutegeana, au kusema eti jinsia fulani ndio inatakiwa ibadilike narudia tunakoelekea ni kubaya
aissee ni Hatari mno, ni kubaya
 
Hii ishu ni nzito mno. Sema ungekuta nyeto haina madhara ingekuwa njia nzuri ya kujikinga na UKIMWI. Hili gonjwa wakuu bado lipo na linatisha mno. Kuna siku shangazi yangu alikuwa mgonjwa ikawa inahitajika kumchangia damu... nakumbuka kwenye group la vijana kama 8 tuliokuwa salama kuweza kuchangia damu salama tulikuwa watatu tu. Na kwa wakati ule usingeamini watu walikuwa wako vizuri kabisa kwa kuwatazama. Tayari katika hao walisharudisha jezi.

Mimi siwezi nikakomaa 100% kwamba vijana waache nyeto. Ninashauri waliofika umri wa kuoa na tayari wamepata wapenzi wanaoendana basi waoane. Ushauri wa kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu haufai kabisa kwa wakati tuliopo. HAKUNA MPENZI MWAMINIFU. Ukiwa na mpenzi tumia condom. Mke au mume peke yake ndo kula kavu.

Nadhani ni muda wa wataalamu wa Afya kutoka na kueleza msimamo kamili kuhusu nyeto. Watoe ushauri wa njia salama ya kupiga nyeto badala ya kila mara kujitokeza na KUISEMA VIBAYA NYAMA PENDWA KITIMOTO.
Mimi siamini kama nyeto ina madhara mpaka leo.

Coz I practiced it for almost 9 years lakini sijaona madhara ambayo yanaweza kuwa permanent.

Sana tu labda nilikuwaga na hofu, lakini sijui kukojoa mapema au kuwa kibamia ni uwongo mtupu.

Muhogo wangu uko saizi ile ile (haujanywea) na pia ku-last longer (40 minutes plus) kuko pale pale.

NB : Sishawishi mpige nyeto, but hakuna ushahidi wa kisayansi unaoonesha nyeto ina madhara makubwa kama ambavyo mnatishiwa.

Nyeto ni kitendo cha aibu sana, hii sababu tu ndiyo ilinifanya niache nyeto
 
Mimi siamini kama nyeto ina madhara mpaka leo.

Coz I practiced it for almost 9 years lakini sijaona madhara ambayo yanaweza kuwa permanent.

Sana tu labda nilikuwaga na hofu, lakini sijui kukojoa mapema au kuwa kibamia ni uwongo mtupu.

Muhogo wangu uko saizi ile ile (haujanywea) na pia ku-last longer (40 minutes plus) kuko pale pale.

NB : Sishawishi mpige nyeto, but hakuna ushahidi wa kisayansi unaoonesha nyeto ina madhara makubwa kama ambavyo mnatishiwa.

Nyeto ni kitendo cha aibu sana, hii sababu tu ndiyo ilinifanya niache nyeto
Ulikuwa unapiga kwa kiasi. Kuna wanaopiga hata bao tatu kwa siku. Na karibia kila siku anapiga. Ila kama hukuzaliwa na matatizo ya kiafya ukiamua kuacha hata kama madhara yalianza kujitiokeza basi hutoweka na kurudi kawaida. Tatizo ni kwenye kuacha.
 
Mimi nawaonea huruma tu wale wazee wa kataa ndoa, wanaohisi kwamba wakifanya hivyo basi ndio wanawake watajirudi na kuwa na maadili hivyo watawabembeleza wanaume wawaoe, napenda wafahamu tu kuwa tunakoelekea ndio kubaya zaidi hivyo vizazi vinavyokuja ndio kabisa hakuna kubembelezana wala kubow yani

Na huko kwenye usagaji ndiko watakakokimbilia wanawake wengi ambao watakosa ndoa, maana nasikia wengi wanakiri kuwa huko ndiko wanakoridhika zaidi kuliko kwa wanaume ambao ni wabinafsi, wanawaza kuridhika wao zaidi halafu wanaishia kuwachafua tu wanawake bila kuwafikisha vileleni

Mimi nashauri kama mmeamua kukataa ndoa basi hakikisheni mnaikataa kwa dhati na siyo kwa kukomoa au kusikilizia upande wa pili utarespond vipi, na kama mmeamua kuyalinda maadili basi wote myalinde ipasavyo bila kutegeana, au kusema eti jinsia fulani ndio inatakiwa ibadilike nasemaje you'll be disappointed
sasa dunia haijaanza leo wala jana, kuhusu kusagana kwa wanawake ni karne na karne nyuma, kuhusu wanaume kuingiliana haijaanza leo ukisoma Mwanzo 19:
Wale malaika wawili wakawasili mjini Sodoma jioni. Loti ambaye alikuwa ameketi penye lango la mji wa Sodoma, alipowaona, aliinuka kuwalaki, akainama kwa heshima, 2akasema, “Bwana zangu, karibuni nyumbani kwangu mimi mtumishi wenu. Mnaweza kunawa miguu na kulala kwangu usiku wa leo. Asubuhi na mapema mtaweza kuendelea na safari yenu.” Lakini, wao wakasema, “La! Sisi tutalala huku mtaani.” 3Loti akawasihi sana, mwishowe wakakubali, wakageuka na kuingia nyumbani kwake. Loti akawaandalia karamu, akaoka mikate isiyotiwa chachu, wakala.
4Lakini kabla ya kulala usiku, wanaume wote wa mji wa Sodoma, vijana kwa wazee, bila kubaki hata mmoja, wakaizingira nyumba ya Loti. 5Wakamwita Loti na kumwuliza, “Wako wapi wale wanaume waliokuja kwako? Watoe nje. Tunataka kulala nao.”
6Loti akatoka nje, akafunga mlango nyuma yake, 7akawaambia, “Ndugu zangu, nawasihi msitende uovu huo. 8Tazama, ninao binti wawili ambao bado hawajalala na mwanamume. Mniruhusu niwapeni hao wasichana muwatendee kama mpendavyo. Lakini msiwatende lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.”


Tunapotoka ni kubaya zaidi kuliko tunapokwenda tofauti na unavyosema, kama kuna watu walitaka kuwaingilia malaika wa Mungu kinyume na maumbile can you imagine? kwa wakati huo dhambi iliyokuwa ikitendeka? hio ni before Jesus hajazaliwa, hata kama wanawake wakisagana wakimaliza watamtafuta mwanaume amwagie mbegu apate mtoto, hata uliye comment hapa ni kwa sababu ya mwanume na mwanamke kukutana, utaratibu aliouweka Mungu uheshimiwe.
 
Napiga Nyeto Kujikinga na UKIMWI
Napiga Nyeto kukwepa Mizinga
Napiga Nyeto kujikinga na Gono
Napiga Nyeto kujikinga na Kaswende
 
Ulikuwa unapiga kwa kiasi. Kuna wanaopiga hata bao tatu kwa siku. Na karibia kila siku anapiga. Ila kama hukuzaliwa na matatizo ya kiafya ukiamua kuacha hata kama madhara yalianza kujitiokeza basi hutoweka na kurudi kawaida. Tatizo ni kwenye kuacha.
haya madhara huwa yanatokea baada ya mda gani ? naona ni fantasies hakuna uhalisia juu ya hilo
binafsi napiga kila siku, ndiyo kila siku, bao 3 mpaka 4, tangu Nov 2020 nilipoachana na yule bibie, mpaka leo hii (niko serious)

Ex anajilengesha daily, hajui kama Nyeto imechukua nafasi yake, nadhani anashangaa kwanini siombi kupasha kiporo
 
haya madhara huwa yanatokea baada ya mda gani ? naona ni fantasies hakuna uhalisia juu ya hilo
binafsi napiga kila siku, ndiyo kila siku, bao 3 mpaka 4, tangu Nov 2020 nilipoachana na yule bibie, mpaka leo hii (niko serious)

Ex anajilengesha daily, hajui kama Nyeto imechukua nafasi yake, nadhani anashangaa kwanini siombi kupasha kiporo
2020 ni mapema sana. Madhara ya nyeto ni baada ya miaka mingi ndo utayaona rasmi
 
Nyeto kwa mwanamke haina madhara yoyote acheni kuwatisha binti zetu eti wanaharibu sehemu zao za siri kwa vipi ziharibike na sio nyie ndio mnawaharibu....
Tena waendelee kujichua na kusuguana viarage hadi wamalize shule, sio kuleta nyumbani mimba zisizo na baba, HIV, UTI sugu.
 
sasa dunia haijaanza leo wala jana, kuhusu kusagana kwa wanawake ni karne na karne nyuma, kuhusu wanaume kuingiliana haijaanza leo ukisoma Mwanzo 19:
Wale malaika wawili wakawasili mjini Sodoma jioni. Loti ambaye alikuwa ameketi penye lango la mji wa Sodoma, alipowaona, aliinuka kuwalaki, akainama kwa heshima, 2akasema, “Bwana zangu, karibuni nyumbani kwangu mimi mtumishi wenu. Mnaweza kunawa miguu na kulala kwangu usiku wa leo. Asubuhi na mapema mtaweza kuendelea na safari yenu.” Lakini, wao wakasema, “La! Sisi tutalala huku mtaani.” 3Loti akawasihi sana, mwishowe wakakubali, wakageuka na kuingia nyumbani kwake. Loti akawaandalia karamu, akaoka mikate isiyotiwa chachu, wakala.
4Lakini kabla ya kulala usiku, wanaume wote wa mji wa Sodoma, vijana kwa wazee, bila kubaki hata mmoja, wakaizingira nyumba ya Loti. 5Wakamwita Loti na kumwuliza, “Wako wapi wale wanaume waliokuja kwako? Watoe nje. Tunataka kulala nao.”
6Loti akatoka nje, akafunga mlango nyuma yake, 7akawaambia, “Ndugu zangu, nawasihi msitende uovu huo. 8Tazama, ninao binti wawili ambao bado hawajalala na mwanamume. Mniruhusu niwapeni hao wasichana muwatendee kama mpendavyo. Lakini msiwatende lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.”


Tunapotoka ni kubaya zaidi kuliko tunapokwenda tofauti na unavyosema, kama kuna watu walitaka kuwaingilia malaika wa Mungu kinyume na maumbile can you imagine? kwa wakati huo dhambi iliyokuwa ikitendeka? hio ni before Jesus hajazaliwa, hata kama wanawake wakisagana wakimaliza watamtafuta mwanaume amwagie mbegu apate mtoto, hata uliye comment hapa ni kwa sababu ya mwanume na mwanamke kukutana, utaratibu aliouweka Mungu uheshimiwe.
Mkuu sijakataa kwamba watarudi kwa wanaume kumwagiwa mbegu ili wazae ila point yangu ni kwamba watarudi kwa lengo la kuzaliana tu, na si kwa lengo la ndoa wala kuridhishwa au kupeana mapenzi kitu ambacho ni kinyume na matarajio ya wanaume wengi wanaokataa ndoa, hawa wanaume wanaokataa ndoa lengo lao eti ni ili wawakomoe wanawake waanze kujirudi na kuwa wife material kisha wawabembeleze wanaume wawaoe

Na hicho ndio ninachosema kwamba hakitawezekana, kama unafuatilia masuala ya generations utagundua sasa hivi Gen Z (kizazi ambacho ndio kimeanza kulalamikiwa sana kwa kukengeuka sababu ya maendeleo ya teknolojia) ndio kimeshika hatamu, halafu kuna hicho kinachokuja sasa kinaitwa Gen Alpha ambao sasa hivi bado ni watoto hao ndio wataharibu zaidi dunia kuliko wanavofanya the former na hatujui vizazi vingine vinavyofuata vitaendeleza maovu gani

Mimi maandiko nayafahamu vizuri tu mkuu lakini trust me we haven't seen the worst yet tukiacha hayo maovu ya kwenye biblia ambayo hakuna binadamu wa sasa aliyewahi kuyashuhudia, tukianza kulinganisha maadili ya kuanzia kwenye Silent Generation kuja Gen Z hasa kwa waafrika tunaona jinsi yanavyozidi kuporomoka kizazi hadi kizazi, na kama hao hao waliozileta hizo dini ndio waliotabiri kuwa vizazi vinavyokuja ndio vitaiharibu zaidi dunia unadhani walijiropokea tu

Kitakachofuata ni kwamba wanawake watakuwa wanarudi kwa wanaume kwa ajili ya kuzaliana tu na si kwa ajili ya ndoa kisha mama anabaki na watoto wake wa kumfariji na baba anabaki na malaya wake aliokuwa anawanunua, point yangu ni kwamba msifikiri wanawake wataanza kubembeleza wanaume ili ndoa zirudi bali nao watatafuta namna ya kusurvive bila hizo ndoa, na mfano tunaanza kuuona sasa hivi ambapo wanawake wala hawaogopi tena kuitwa masingle mother

Yani siku hizi kuwa single mother imekuwa fashion na wanawake wengi hawajali tena matusi wanayotukanwa na jamii hili tu lilitakiwa likupe picha ya wapi tunaelekea, ni tofauti na zamani ambapo ilikuwa ni aibu kubwa mwanamke kuzaa kabla ya ndoa ila sasa hivi wanawake wanajizalia tu huku wakiolewa na kuachika like nobody's business, na tukiangalia hali halisi for some reasons including sentimental wanaohitaji zaidi ndoa ni wanaume kuliko wanawake
 
Punyeto ya kiwango kilichodhibitiwa haina madhara kwa mhusika. Tatizo ni kuwa na uraibu ( addiction) wa punyeto.

Bao moja kwa wiki au kwa wiki 2 siyo mbaya kiafya. Shida ni pale mhusika anapogeuza kuwa mchezo wa kila siku.

Punyeto iliyozidi huathiri saikolojia ya mapenzi ( ngono) ya mhusika. Ndiyo maana kuna watu walishakuwa tegemezi kwa video au picha za uchi ndipo hupata msisimko wa kufanya mapenzi.

Kikubwa watu wapunguze na kuacha kabisa kuangalia video na picha za utupu. Pia waanze kupunguza na kuacha kabisa punyeto.

# punyeto ni njia ya kuvutia majini na mapepo wabaya, unapomwaga mbegu zako unawakusanya majini ambao watakufanya usipende mahusiano na ndoa ili uendelee kuwapa chakula chaio ( manii zako)
 
mingi mingapi ? madhara kama yapi ?
Madhara ya punyeto;
1. Uume kusimama kwa ulegevu unapokutana na mwanamke na huenda ukasimama kwa muda mfupi na kushindwa kabisa kusimama.
2. Kutofurahia tendo na mwanamke. Yaani ile ladha ya K inakuwa sio sawa na kama ungepiga nyeto.
3. Kuwa mchovu. Mpiga nyeto hata mkienda jogging lazima achoke sana.
4. Usahaulifu. Katika madhara makubwa ya nyeto yasiyotajwa sana ni kusahau. Nadhani nyeto inashambulia mishipa ya fahamu.
5. Nyeto huhusisha kuangalia porn hivyo mtu anaweza kuwa addicted hadi kuanza kuangalia porn za watu wa jinsia moja na yeye kunasa kwenye ushoga. Nyeto na ushoga haviko mbali sana. Sitashangaa wewe Dronedrake siku moja ukawa Anti Dronedrake endapo utaendelea na nyeto.
 
Madhara ya punyeto;
1. Uume kusimama kwa ulegevu unapokutana na mwanamke na huenda ukasimama kwa muda mfupi na kushindwa kabisa kusimama.
2. Kutofurahia tendo na mwanamke. Yaani ile ladha ya K inakuwa sio sawa na kama ungepiga nyeto.
3. Kuwa mchovu. Mpiga nyeto hata mkienda jogging lazima achoke sana.
4. Usahaulifu. Katika madhara makubwa ya nyeto yasiyotajwa sana ni kusahau. Nadhani nyeto inashambulia mishipa ya fahamu.
5. Nyeto huhusisha kuangalia porn hivyo mtu anaweza kuwa addicted hadi kuanza kuangalia porn za watu wa jinsia moja na yeye kunasa kwenye ushoga. Nyeto na ushoga haviko mbali sana. Sitashangaa wewe Dronedrake siku moja ukawa Anti Dronedrake endapo utaendelea na nyeto.
zote nadharia hizi, fantasies
 
Back
Top Bottom