Vijana wengi wanapo hitimu elimu za O Level na A Level hufikiria haswa kusoma masuala ya Udaktari

Vijana wengi wanapo hitimu elimu za O Level na A Level hufikiria haswa kusoma masuala ya Udaktari

Hahaha...................uje na Kiko ili tuanze mazungumzo

Najua yule Mjukuu atakufaa sana

Unamwachia laki 2.5 anaibana bana mnatumia Mwezi mzima

Ukiongeza na Kipato chake, baada ya Mwaka mnafungua kiwanda cha kuuza Pikipiki kutoka China 🤗
Mkwe hata kama promo siyo hivi 😅
 
Mwambie Binti mume kapata. Ila angalau asiwe flat screen
Tatizo nimezeeka sana, nashindwa kujua utofauti wa flat screen na tandamu 😜

By the way, pale Kwa Mjukuu wangu, Mke umepata 🤗
 
Ualimu labda Kwa Mwanamke, Mwanaume labda mambo yakiwa yamegoma

Kwenye maisha ya Ndoa, ukioa Mwalimu basi utakuwa umelamba dume

Hao hawana mambo mengi, unaweza kumwachia hela ya Matumizi shilingi laki 4, baada ya Mwezi ukakuta amebakiza Salio la laki 1.5 kama Chenchi 🤗
Jichanganye uone.
 
Ni wanafunzi au wazazi /walezi wao ndio wanawataka kufanya hivyo ?!

Binafsi siwaelewi wanaotaka watoto wao wakasome udaktari lakini wacha waende ili tujisekosa madaktari badae.
Kazi ambayo ni stressful na malipo yasiyoendana.
Binafsi NO.
 
Huo uana sheria nao mmmnh kazi ya kutetea mtuhimiwa wa mauaji wakati Pengine kaua kweli ,
Mbinguni mtaenda kweli ?
Kusafisha mkosa awe hajakosea ?! 🤔🤔🤔
Hata hizo Hela ukilipwa zitakuwa na baraka gani kwako na vizazi vyako ?!
Ualimu nao matatizo yake yanaeleweka nchini.
 
Kwamba nao wamekengeuka?

Kuna wanaume humu Hawana hamu na waliyokutana nayo.
Taaluma au kazi fulani mchango wa kumbadilisha mtu kutoka vile alivyo ki uhalisia ni kwa kiasi kidogo sana .
Zaidi hutegemea makuzi, malezi, Imani , tabia, hali ya moyo wake, mitazamo n.k
 
Kuna wanaume humu Hawana hamu na waliyokutana nayo.
Taaluma au kazi fulani mchango wa kumbadilisha mtu kutoka ni kwa kiasi kidogo sana .
Zaidi hutegemea makuzi, malezi, Imani , hali ya moyo wake, mitazamo n.k
Ni kweli, Siku hizi kupata wa kutulia naye imekuwa Mtihani sana

Tunawaonea huruma Vijana wetu, Kwa maana Ndoa zimekuwa na migogoro isiyo Isha

Kila Siku mnaletewa mashtaka mapya tu
 
Tatizo nimezeeka sana, nashindwa kujua utofauti wa flat screen na tandamu 😜

By the way, pale Kwa Mjukuu wangu, Mke umepata 🤗
Mkwe, mimi ni kijana makini sana.

Usije ukadhani niliishiwa MB kwamba ni hohehahe pro max hapana. Mimi ni hohehahe plain nilikua busy tu na majukumu
 
Back
Top Bottom