Mkwe hata kama promo siyo hivi πHahaha...................uje na Kiko ili tuanze mazungumzo
Najua yule Mjukuu atakufaa sana
Unamwachia laki 2.5 anaibana bana mnatumia Mwezi mzima
Ukiongeza na Kipato chake, baada ya Mwaka mnafungua kiwanda cha kuuza Pikipiki kutoka China π€
Hahaha............nina certificate ya ushawishi kutoka Chuo kikuu cha jalalani ujue πMkwe hata kama promo siyo hivi π
Mwambie Binti mume kapata. Ila angalau asiwe flat screenHahaha............nina certificate ya ushawishi kutoka Chuo kikuu cha jalalani ujue π
Tatizo nimezeeka sana, nashindwa kujua utofauti wa flat screen na tandamu πMwambie Binti mume kapata. Ila angalau asiwe flat screen
Jichanganye uone.Ualimu labda Kwa Mwanamke, Mwanaume labda mambo yakiwa yamegoma
Kwenye maisha ya Ndoa, ukioa Mwalimu basi utakuwa umelamba dume
Hao hawana mambo mengi, unaweza kumwachia hela ya Matumizi shilingi laki 4, baada ya Mwezi ukakuta amebakiza Salio la laki 1.5 kama Chenchi π€
Kwamba nao wamekengeuka?Jichanganye uone.
Kwamba nao wamekengeuka?
Ni kweli, Siku hizi kupata wa kutulia naye imekuwa Mtihani sanaKuna wanaume humu Hawana hamu na waliyokutana nayo.
Taaluma au kazi fulani mchango wa kumbadilisha mtu kutoka ni kwa kiasi kidogo sana .
Zaidi hutegemea makuzi, malezi, Imani , hali ya moyo wake, mitazamo n.k
Mkwe, mimi ni kijana makini sana.Tatizo nimezeeka sana, nashindwa kujua utofauti wa flat screen na tandamu π
By the way, pale Kwa Mjukuu wangu, Mke umepata π€