Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo umefanya Nini?mfumo wa control number umebainikanje
tumesikia huko Arusha kuna mfumo wa control number umebainikanje ya huu wa kihalali,sasa hizi akili za ma genius watoto wa IT l, nashauri hawa wapewe ajira ni hatari sana kuwacha mtaani.
Bora wawe wanape2a kazi toka vyuoni huko
Unafuga SIMBA mla NYAMA alafu humpi NYAMA lazima atakutafuna TU kikubwa atakulia timing na kukuhesabia Sikutumesikia huko Arusha kuna mfumo wa control number umebainikanje ya huu wa kihalali,sasa hizi akili za ma genius watoto wa IT l, nashauri hawa wapewe ajira ni hatari sana kuwacha mtaani.
Bora wawe wanape2a kazi toka vyuoni huko
Aisee, ulikuwa unakimbizana na nani!?tumesikia huko Arusha kuna mfumo wa control number umebainikanje ya huu wa kihalali,sasa hizi akili za ma genius watoto wa IT l, nashauri hawa wapewe ajira ni hatari sana kuwacha mtaani.
Bora wawe wanape2a kazi toka vyuoni huko
Arusha Ofisi gani mkuu control number zao zimebebana mbili mbili?Tumesikia huko Arusha kuna mfumo wa control number umebainikaje ya huu wa kihalali, sasa hizi akili za ma genius watoto wa IT. Nashauri hawa wapewe ajira ni hatari sana kuwacha mtaani.
Bora wawe wanapewa kazi toka vyuoni huko
Bank ziongezewe MAKOMEOMkuu wee acha tu tatizo sapport ni ndogo sana huku vyuoni..
Sasa na sisi tunacheza nao tuu.
Kwa sasa mambo yanafanyika ni ya hataree.
Hap waliokamatwa tunasema ni bado sana yaani waliacha footprint kizembe sana 😂😂😂😂
Ila mambo ni mengi sana aiseee
Yaani kuja kujua cycle nzima kweli walete wataalamu
Tena hawa wa sim bank...Bank ziongezewe MAKOMEO
Hivi vi-app uchwara vyao vya Malipo mtandaoni Wahuni wanavipigaTena hawa wa sim bank...
We subiri tu 😂😂😂😂
Chap tuu ni vile now watu wana elimu kidogo..Hivi vi-app uchwara vyao vya Malipo mtandaoni Wahuni wanavipiga
Watu wana Masters alafu wamepaki BUS wanawachora TUChap tuu ni vile now watu wana elimu kidogo..
Kidogo sio sana 😂🙌
Tatizo wanaiba halafu wanakutwa nazo au wanajenga majumba tuHii nchi ukipata nafasi ya kuiba, wewe iba tu. Mbona wakubwa wanaiba? Sasa kwa nini na wadogo nao wasiibe?