Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Habari za mchana vijana wenzangu,
Nikiwa kama kijana mwenzenu nimeamua kuongea na vijana wenzangu wa umri wa miaka 14-25, kwenye kundi hili wengi hujiingiza kwa suala la punyeto au kujichua kwa sababu mbalimbali kama zifuatazo;
1. Kujiburudisha wao binafsi.
2. wengi wanawakuwa mashuleni wanaona bora wajiigize kwenye kujichua kuliko kudeal na wasichana (mademu).
Mwisho wa siku wengi wanakuwa very addicted na hii kitu na kuona jambo la kawaida. Vijana wenzangu mimi ni waambie kitu kimoja, unapofika umri wa 20 above wengi uwa chuoni, kazini na hivyo upatikanaji wa wasichana ni kama kumsukuma mlevi.
Ila shida inakuja hii punyeto ulioanza zaidi ya miaka 5 iliyopita inaanza kuonyesha madhara yake kama ifuatavyo;
1. Uume kushindwa kusimama na ukisimama unalegea.
2. Kukosa humu ya wanawake na ukiamua kuwa nao hakuna unachofanya.
Mwisho naomba nioongee haya;
1. Wakuu punyeto ina madhara, najua wengi wanaitetea ila sisi wahanga wa hili suala tunalijua kama sio ya mwili (physical) basi ya kiakili (psychological) na kama haujaona sasa subiri yanakuja.
2. Matatizo ya wanawake kutoshika mimba na nguvu za kiume hayataisha, chanzo kikubwa ni hii punyeto.
Mimi nimeacha, nipo kupambana kurudi hali ya kawaida. Nakushauri acha kijana mwenzangu, wanawake wengi wapo, utaishia kuwaangalia hapo mbeleni.
Nikiwa kama kijana mwenzenu nimeamua kuongea na vijana wenzangu wa umri wa miaka 14-25, kwenye kundi hili wengi hujiingiza kwa suala la punyeto au kujichua kwa sababu mbalimbali kama zifuatazo;
1. Kujiburudisha wao binafsi.
2. wengi wanawakuwa mashuleni wanaona bora wajiigize kwenye kujichua kuliko kudeal na wasichana (mademu).
Mwisho wa siku wengi wanakuwa very addicted na hii kitu na kuona jambo la kawaida. Vijana wenzangu mimi ni waambie kitu kimoja, unapofika umri wa 20 above wengi uwa chuoni, kazini na hivyo upatikanaji wa wasichana ni kama kumsukuma mlevi.
Ila shida inakuja hii punyeto ulioanza zaidi ya miaka 5 iliyopita inaanza kuonyesha madhara yake kama ifuatavyo;
1. Uume kushindwa kusimama na ukisimama unalegea.
2. Kukosa humu ya wanawake na ukiamua kuwa nao hakuna unachofanya.
Mwisho naomba nioongee haya;
1. Wakuu punyeto ina madhara, najua wengi wanaitetea ila sisi wahanga wa hili suala tunalijua kama sio ya mwili (physical) basi ya kiakili (psychological) na kama haujaona sasa subiri yanakuja.
2. Matatizo ya wanawake kutoshika mimba na nguvu za kiume hayataisha, chanzo kikubwa ni hii punyeto.
Mimi nimeacha, nipo kupambana kurudi hali ya kawaida. Nakushauri acha kijana mwenzangu, wanawake wengi wapo, utaishia kuwaangalia hapo mbeleni.