Vijana wetu wanaondoka leo kwenda Libya

Vijana wetu wanaondoka leo kwenda Libya

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
WanaJF,

Safarini Tunisia kupambana na Libya.
Msimamo wa makundi hadi sasa.

Screenshot_20191116-060056.jpeg
 
Last edited:
Uzi ungekuwa wanaenda leo Tunisia kucheza na Libya sio wanaenda libya
 
Hili kundi tunaweza kutoboa,naona threat ni Tunisia tu,ambaye hapa nyumbani tunaweza kuokota point/points
 
Kwa Tunisia, mnapigwa nje ndani.
Usikariri mkuu Hao Tunisia wenyewe viwete tu wamemkuta Libya
Usione waarabu ukatishika hawana kitu cha ziada kwao Wanaweza kutufunga Ila hapa mnakula sahani Moja
 
Back
Top Bottom