Vijanaa,wanaume walaa veveee...

Vijanaa,wanaume walaa veveee...

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,443
Reaction score
3,002
niaje wadau wakuu humu ndani,naombaa nisiwachoshee...cse siwalipi,amnilipi!!:focus::lol:kunakundi kubwaa la vijanaa,hasaa ARUSHA,moshii,pwanii ya tangaa,wanakulaa mirungii sanaaa,kwautafiti wangu vijana wa arusha wamedumaa na kuwa matejaa wa mirungii,mtu anafanya kazi ngumu lakini daily anaspendi 5000 adi 7000 kwenye mirungi,nisingependa kuongelea hilo la matumizii ya pesa zao,kikubwaa nnachotaka kukiwakilisha kwenu ni utumiaji wa mirungii na matatizo ya kiafya,utumia ajii wa mirungii kwa mda mrefu una sababisha kupungua kwa nguvu za kiume,tatizo hili lina nifanyaa nifikirie vijana wengii arusha wala mirungii au vevee kama [case study] yangu,watakuwa hawa warizishii wake zao au wapenzi wao na kuwafanyaa wasaidiwee majukumu hayo njee na wengine.vijanaaa achenii mirungii...INAMALIZAA NGUVU ZA KIUME.
 
wngne wanalilia ngvu za kiume wengne hawaztaki.
 
hahaha..nimekusomaa hawaa wanajitakiaaaa sio
 
mbona huwasemi na wale wanywa banana
nenda kamuulize mnywa banana huwa inatokea nini wakifika majumbani mwao kwa wake zao
 
Mbona mi nikila ugali ndo nguvu za kiume zinakimbia.........:eyebrows:
 
tuko teyari kuwasaidia watanzania wenzetu watakapopatwa na matatizo hayo.Nalog off
 
Back
Top Bottom