Vijembe vya mashabiki wa Simba SC

Vijembe vya mashabiki wa Simba SC

Makosa ya marefa ni ya kawaida tu. Ni muda mrefu sasa wamekuwa wakifahamika kwa kuchezesha mechi nyingi za ligi chini ya kiwango.

Sare ya leo ilikua ni ya kujitakia tu baada ya kocha wa Yanga kuamua kutowaheshimu Kagera Sugar na hivyo kuwaacha wachezaji muhimu kama Mukoko nje. Huu upuuzi wa kocha ukiendelea, kuna dalili tukaja kunyang'anywa tonge mdomoni.
Sasa muwe wapoleee
 
Back
Top Bottom