mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Kushinda atashinda Lissu ila hatatangazwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JifarijiniLowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Hayo ni mawazo mgando, ya kudhani wote wanao enda kwenye mikutano ya wapinzani hawana kadi, wanao enda kwenye mikutano ya ccm eti wana kadi. Si lissu wala Magufuri anayeuliza nani ana kadi kwenye mikutano yao. Kati ya watu 54 M waliopo Tanzania , vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 45 wapo zaidi ya , 30M, ina maana vijana wengi wa na kadiLowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Vijana wa 2020 sio wale wa 2000.Wengi sasa wamemaliza form 4. Wanajua nini vyama vya upinzani na kuwa upinzani sio uhaini. Wengi wamejiandikisha kupiga kura kwa kuwa kitambulisho cha mpiga kura ndicho pekee kilichokuwa kinakubalika mhali pote. Ukiwa nacho unatambuka pote kwa kuwa kinakubalika pote. Wengi wanaohudhuria mikutano ya Lissu wanavyo vitambulisho vya kupigia kura. Vijana wengi wa vijijini wanavyo vitambulisho na ni wana mageuzi. Wale wazee wa 2000 kurudi nyuma wengi wamesha phase out!Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Patachimbika. Hapatatosha!!!Kushinda atashinda Lissu ila hatatangazwa
HeheheeWajinga wanapungua kwa kasi kubwa,japo bado wapo tuendelee kuelimishana.
Usisahau kwamba Lowassa alikuwa anafanya mkutano mmoja mkoa mzima, Lissu ni hatari ameongea na watu wengi Mara tano au kumi zaidi ya lowassa, na kitendo cha kumnyima helkopta kimekuwa na faida kubwa sana kwake kuliko angaeitumiaLowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Wazee ndio wamechoka na kuchoka kabisa. Mtiti huu ni wa vijana wenye sri mpya.Vijana wa 2020 sio wale wa 2000.Wengi sasa wamemaliza form 4. Wanajua nini vyama vya upinzani na kuwa upinzani sio uhaini. Wengi wamejiandikisha kupiga kura kwa kuwa kitambulisho cha mpiga kura ndicho pekee kilichokuwa kinakubalika mhali pote. Ukiwa nacho unatambuka pote kwa kuwa kinakubalika pote. Wengi wanaohudhuria mikutano ya Lissu wanavyo vitambulisho vya kupigia kura. Vijana wengi wa vijijini wanavyo vitambulisho na ni wana mageuzi. Wale wazee wa 2000 kurudi nyuma wengi wamesha phase out!
Hapo umeongea point sana. Dar alifanya mkutano wa jangwani tu. Then Mbeya then Mwanza na Arusha basi.Usisahau kwamba Lowassa alikuwa anafanya mkutano mmoja mkoa mzima, Lissu ni hatari ameongea na watu wengi Mara tano au kumi zaidi ya lowassa, na kitendo cha kumnyima helkopta kimekuwa na faida kubwa sana kwake kuliko angaeitumia
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sanaHuyu aliyekaa kimya anawakilisha walio wengi kwenye jamii na ndio wana hatima ya uchaguzi wa 28 oktoba.
Wewe ndiyo kibaraka wa chato msaka uteuzi huo uvccm walisema wakiamua huhujumu kwa kuzuia maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani wakati wananchi wanalipa kodiHuna Akili Kama BAVICHA wenzio Magufuli hajawa Mhofia wala kumwogopa Kibaraka Lissu Lejea MIGA
Kikokotoo ni nini?Usisahau kikokotoo kinawahusu wanajeshi pia.
Jumla walikua wangapi??Leo nimetulia sehemu wakapita wanafunzi wawili.
Wawili wakasema wanampennda magufuri mmoja anampenda lissu mmoja alikaa kimyaa.
Uwanja wa CHATO Sasa hautwajiHuna Akili Kama BAVICHA wenzio Magufuli hajawa Mhofia wala kumwogopa Kibaraka Lissu Lejea MIGA
Lowassa ndio nani??Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Hili suala la vijijini ccm walijiamini sana .kiukweli nako hali ni mbaya, honestly niliongea na bi mkubwa huko chemba anasema watu ni chadema tu habari za ccm ni kwa mbali sanaHuko vijijini ndio CCM walikuwa wanategemea. Sasa kama huko nako wazee wamewakataa, basi CCM bye bye.
Hapa ange malizia na chopa sass..Kampeni au tuseme mikutano ya Lissu inathibitisha hilo na mimi binafsi nimeliona hilo na hata leo Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameongelea swala hili katika hii tweet yake hapa chini:
Vijijini mwamko ni mkubwa mno....mijini ndiyo kabisa.
Tunashukuru sana kila mtanzania anayejitokeza kuja kusikiliza wagombea wetu kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani.
Huu ni ujumbe siasa ni maisha...ujumbe tunahitaji kuwa na fursa ya kuzungumza na wananchi.
*Kata ya Ruhembe
View attachment 1602480
Very trueBahati mbaya kwa CCM sasa hivi vijana waliozaliwa hapo mwaka 2002 wanapiga kura mwaka huu,hao hawajui mambo ya Tanu ilileta uhuru sijui Tanu+ASP=Ccm wao wanajua tu mambo ya Chadema.
Mwaka huu MAKABURU WEUSI wanapumzishwa.Kampeni au tuseme mikutano ya Lissu inathibitisha hilo na mimi binafsi nimeliona hilo na hata leo Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameongelea swala hili katika hii tweet yake hapa chini:
Vijijini mwamko ni mkubwa mno....mijini ndiyo kabisa.
Tunashukuru sana kila mtanzania anayejitokeza kuja kusikiliza wagombea wetu kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani.
Huu ni ujumbe siasa ni maisha...ujumbe tunahitaji kuwa na fursa ya kuzungumza na wananchi.
*Kata ya Ruhembe
View attachment 1602480