Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Endapo serekali yetu tukufu itaweka nguvu zake vijijini hakika huu mlundikano wa wazururaji mijini utapungua sana, Yapo mambo ambayo ni lazima serekali iyatekeleze kwanza ili kuvutia watu vijijini.
1)Ardhi zipimwe na zitambulike na ziwe na hati rasmi.
2) hati hizo ziwe na upendeleo maalumu kwa mabenki.
3)miundombinu vijijini ni lazima iboreshwe kwa kiwango cha kupitika kwa usafiri wowote hata kwa magari madogo.
4) makampuni maalumu yawepo vijijini ambayo yatakuwa na vifaa mbalimbali vya kumsaidia mkulima mf. Trektas and alikes.
5)Wanunuzi wa mazao ambao nao watakuwa na maghala na maofisi wawepo hukohuko vijijini.
6) Mabwana kilimo wawepo kila kona ya nchi ofisi zao ziambatane na ofisi za kijiji, yaani ofisi ya kijiji, bwana shamba bibi afya bwana mifugo, zikawa mkabala all services in one!
7) Bank ziweze kuwakopesha wakulima wenye hati huko vijijini hata pick up za kuwasaidia wakulima huko, na zana mbalimbali zitakazo weka wepesi kwa kazi zao!
8) Ukizingatia umeme umeshafika kwenye vijiji vingi mno
#What else!
1)Ardhi zipimwe na zitambulike na ziwe na hati rasmi.
2) hati hizo ziwe na upendeleo maalumu kwa mabenki.
3)miundombinu vijijini ni lazima iboreshwe kwa kiwango cha kupitika kwa usafiri wowote hata kwa magari madogo.
4) makampuni maalumu yawepo vijijini ambayo yatakuwa na vifaa mbalimbali vya kumsaidia mkulima mf. Trektas and alikes.
5)Wanunuzi wa mazao ambao nao watakuwa na maghala na maofisi wawepo hukohuko vijijini.
6) Mabwana kilimo wawepo kila kona ya nchi ofisi zao ziambatane na ofisi za kijiji, yaani ofisi ya kijiji, bwana shamba bibi afya bwana mifugo, zikawa mkabala all services in one!
7) Bank ziweze kuwakopesha wakulima wenye hati huko vijijini hata pick up za kuwasaidia wakulima huko, na zana mbalimbali zitakazo weka wepesi kwa kazi zao!
8) Ukizingatia umeme umeshafika kwenye vijiji vingi mno
#What else!