Ndachuwa JF-Expert Member Joined Mar 8, 2006 Posts 6,269 Reaction score 4,579 Sep 11, 2020 #2 Nimemkumbuka Mama Zakhia Meghj alivyoilea sekta binafsi kwa sera ya "Private-Public Partnership" PPP. Na ile kauli ingine aliyoizoea sana ya "D by D". Hakika sekta binafsi ilikuwa inakwenda vizuri sana wakati huyu mama akiwa Waziri wa Fedha
Nimemkumbuka Mama Zakhia Meghj alivyoilea sekta binafsi kwa sera ya "Private-Public Partnership" PPP. Na ile kauli ingine aliyoizoea sana ya "D by D". Hakika sekta binafsi ilikuwa inakwenda vizuri sana wakati huyu mama akiwa Waziri wa Fedha
USSR JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 10,904 Reaction score 26,184 Sep 11, 2020 #3 Hivi vipaumbele vimewekwa na mtu anayejua kuwa hata shinda hata akiandika kwake ni kawaida tu ni sawa na kupanga jambo uanalolojua huta weza kulifanya
Hivi vipaumbele vimewekwa na mtu anayejua kuwa hata shinda hata akiandika kwake ni kawaida tu ni sawa na kupanga jambo uanalolojua huta weza kulifanya
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,926 Reaction score 95,626 Sep 11, 2020 #4 Baba mwenye nyumba alieyumba aliviona hivyo vipaumbele akavicopy fasta na kuanza kuvihubiri!
R Rasterman JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 33,894 Reaction score 44,117 Sep 11, 2020 #5 Cicadulina said: View attachment 1566540 View attachment 1566539 Click to expand... Kwa vipaumbele hivi. Chadema wamejipanga na wana nia njema ya kuwaletea wananchi maendeleo
Cicadulina said: View attachment 1566540 View attachment 1566539 Click to expand... Kwa vipaumbele hivi. Chadema wamejipanga na wana nia njema ya kuwaletea wananchi maendeleo
R Rasterman JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 33,894 Reaction score 44,117 Sep 11, 2020 #6 Behaviourist said: Baba mwenye nyumba alieyumba aliviona hivyo vipaumbele akavicopy fasta na kuanza kuvihubiri! Click to expand... Alishachelewa. Hawezu hata kufafanua kwakuwa alikopy asichokijua
Behaviourist said: Baba mwenye nyumba alieyumba aliviona hivyo vipaumbele akavicopy fasta na kuanza kuvihubiri! Click to expand... Alishachelewa. Hawezu hata kufafanua kwakuwa alikopy asichokijua
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Sep 11, 2020 #7 Chadema hawana hata hela ya kufanyia kampeni kuwapa hazina no sawa na kumkabidhi fisi bucha.