Uchaguzi 2020 Vijue vipaumbele kwenye Ilani ya CHADEMA vinavyoitesa CCM

Uchaguzi 2020 Vijue vipaumbele kwenye Ilani ya CHADEMA vinavyoitesa CCM

Cicadulina

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
977
Reaction score
2,370
1599832854845.png
1599832790854.png
 
Nimemkumbuka Mama Zakhia Meghj alivyoilea sekta binafsi kwa sera ya "Private-Public Partnership" PPP. Na ile kauli ingine aliyoizoea sana ya "D by D".

Hakika sekta binafsi ilikuwa inakwenda vizuri sana wakati huyu mama akiwa Waziri wa Fedha
 
Hivi vipaumbele vimewekwa na mtu anayejua kuwa hata shinda hata akiandika kwake ni kawaida tu ni sawa na kupanga jambo uanalolojua huta weza kulifanya
 
Baba mwenye nyumba alieyumba aliviona hivyo vipaumbele akavicopy fasta na kuanza kuvihubiri!
 
Chadema hawana hata hela ya kufanyia kampeni kuwapa hazina no sawa na kumkabidhi fisi bucha.
 
Back
Top Bottom