Vikao na viongozi wa Kiafrika huko Ulaya badala ya Wadau wa Maendeleo vya nini tena?

Vikao na viongozi wa Kiafrika huko Ulaya badala ya Wadau wa Maendeleo vya nini tena?

Kiongozi yeyote anapopata upenyo wa kuhudhuria Mikutano muhimu kama unaoendelea huko Scotland , ni vema akatumia wasaa huo muhimu wa kukutana na Wadau wa Maendeleo , ili wasaidie Mkwamo wa Nchi yake .

Uko Ulaya halafu unapambana kukutana na Chakwera ambaye nchi yake imekongoroka unataka akusaidie nini , Demokrasia ? mbona kwenu mnaisigina ?

Safari za viongozi ni vema zikawa na tija basi .

View attachment 1995179
Hivi kwa akili yako hujui kuwa tunafanya biashara na malawi?hujui pia kuwa tunataka kuwashawishi kutumia meli na bandari zetu kule mbamba bay?wewe hujui kuwa tunapakana nao?
Kwani hujamuona mama akikutana na hao wadaubwa maendeleo? Acheni kuropokaropoka tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hizi photo-ops baina ya viongozi wa nchi na watu mbalimbali sizo zitakazoleta maendeleo ya nchi. Hivi fikiria kidogo. Yaani uwe na mipango ya kujenga SGR na mega Hydropower na miradi mingine baab kubwa vitakavyosaidia nchi ipige hatua kubwa za kimaendeleo miradi hiyo ikikamilika, kupiga picha na Johnson au Biden au sijui mtu gani mwingine kutasaidia nini?

Hizo ni photoop pure and simple. Mipango madhubuti ya maendeleo hufanyika chobingo, inahitaji dhamira ya dhati na sacrifices za watu wa nchi hiyo inayotaka maendeleo. Kuzunguka Ulaya na Marekani hakujawahi hata siku moja kuwatoa watu wa nchi maskini kwenye umaskini wao.
 
IMO ile kampeni kule Twitter Republic few weeks before travelling to New York plus Mbowe’s FAKE case imemchafua sana kwa mabeberu. Kumbuka Hichilema kule kwenye #UNGA alipata nafasi ya kukutana na delegation ya Biden pia kualikwa WH kule DC na maushungi akaambulia patupu hata picha hakupata labda this time atapata picha. Udhalimu anaoufanya dhidi ya Chadema na Viongozi wake ndani ya miezi michache tu tangu aingie madarakani, kuminya haki za binadamu, vyombo vya habari ná vyama vya siasa kumemchafua katika nchi nyingi duniani zinazothamini utawala wa sheria.
😁😁😁😁😂😂😂 Bavicha mnajipandisha bure wakati hamna lolote. Kwani mzee wa miga anasemaje
 
Maendeleo ni nini? Kutafuta Mbinu za jukabiriana na mabadiliko ya tabia nchi si maendeleo?. Unaweza kufanya hivyo bila kushirikiana na wadau?
 
Hivi kwa akili yako hujui kuwa tunafanya biashara na malawi?hujui pia kuwa tunataka kuwashawishi kutumia meli na bandari zetu kule mbamba bay?wewe hujui kuwa tunapakana nao?
Kwani hujamuona mama akikutana na hao wadaubwa maendeleo? Acheni kuropokaropoka tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kwenye bandari ya Dar wana kitengo chao special kinaitwa Malawi cargo.
 
Hivi kwa akili yako hujui kuwa tunafanya biashara na malawi?hujui pia kuwa tunataka kuwashawishi kutumia meli na bandari zetu kule mbamba bay?wewe hujui kuwa tunapakana nao?
Kwani hujamuona mama akikutana na hao wadaubwa maendeleo? Acheni kuropokaropoka tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ebu tulia wewe mkojani team
 
Mabalozi na wataalamu wafanye kazi yao ya kuongea serious issues na hao wadau wa maendeleo, rais atafanya assertion ya kile ambacho wataalamu wamesha mpa briefing......kwa hiyo kukutana na world leaders kubadilishana maneno mawili matatu huwezi kuchukulia kama kuna makubaliano makubwa yanaweza kufanyika hapo.
 
Badala ya kufanya ziara ya kwenda Malawi anatumia fursa hiyohiyo kuonana na marais wengine ikiwezekane.

Ziara ya Rais kwenye nchi nyingine inagharimu pesa nyingi, tukiweza kusave matumizi yasiyo na lazima kwa style hii shida iko wapi?

Unaweza kuona ni namba 9 kumbe ni 6 kwa sababu ya mtazamo tu, sawa tu na heat na eat.
Halafu tukisave hizo pesa huwa unazionaga? Si bora atanue tu mana hata zikisaviwa huwezi ziona. Jpm aliwapiga fix watu kuwa anasave kumbe hamna lolote. Mbona hajaajiri wa kupandisha madaraja au kuongeza nyongeza ya mishara. Mbona alikopa sana kuliko marais wote kama kweli alikiwa anasave kwa kitoenda nje. Issue ni kwamba alikuwa hajue kingereza hata yeye alikuwa anatamani kwenda nje. Chezea nje wewe. Hata wewe unapatamani
 
Kiongozi yeyote anapopata upenyo wa kuhudhuria Mikutano muhimu kama unaoendelea huko Scotland , ni vema akatumia wasaa huo muhimu wa kukutana na Wadau wa Maendeleo , ili wasaidie Mkwamo wa Nchi yake .

Uko Ulaya halafu unapambana kukutana na Chakwera ambaye nchi yake imekongoroka unataka akusaidie nini , Demokrasia ? mbona kwenu mnaisigina ?

Safari za viongozi ni vema zikawa na tija basi .

View attachment 1995179
Strongly agree with you.
 
Mimi siwezi kuwa mramba miguu kama wewe asiyejitambua
Kwako ili mtu ajitambue ni lazima awe muumini wa huyu Mandela.....

Cha ajabu Sugu alijiita Mandela.....

Lema alijiita Mandela......

Lissu naye Mandela.....

Sijui wako Mandela wangapi huko CDM 🤣🤣🤣

2969622_images_9.jpeg
 
IMO ile kampeni kule Twitter Republic few weeks before travelling to New York plus Mbowe’s FAKE case imemchafua sana kwa mabeberu. Kumbuka Hichilema kule kwenye #UNGA alipata nafasi ya kukutana na delegation ya Biden pia kualikwa WH kule DC na maushungi akaambulia patupu hata picha hakupata labda this time atapata picha.

Udhalimu anaoufanya dhidi ya Chadema na Viongozi wake ndani ya miezi michache tu tangu aingie madarakani, kuminya haki za binadamu, vyombo vya habari ná vyama vya siasa kumemchafua katika nchi nyingi duniani zinazothamini utawala wa sheria.
Hapana bwana umesahau, maushungi hakutoka kapa Marekani, si alionana na msemaji mkuu wa State Department Miss Mange Kimambi.. 🤣 🤣 🤣
 
Hapana bwana umesahau, maushungi hakutoka kapa Marekani, si alionana na msemaji mkuu wa State Department Miss Mange Kimambi.. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom