Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Mkuu mbona unaitukuza sana lugha ya mabepari?Sasa basi hudhuria kikao na utumie Kimakonde chako au Kisukuma ilmradi uje na mkalimani, kukimbia vikao kisa lugha utatengwa.
Hayayanahusikana aje na made?Acha ujuha kijana.
Secretary General wa SADC ni Dr Stergomena Tax a Tanzanian national yeye ndio anaendesha SADC yote tokea Gaborone Botswana for the past 10 years:-🙂
Zaidi ya hap current chair wa SADC ndio Mzee baba JPM na all Work Group chairs ni respective ministers wa Tanzania mpaka hapo our chairmanship expires sometimes this year.
Uliza kabla ya kupost vitu vingine.
Mkuu mbona unaitukuza sana lugha ya mabepari?
Ubongo wako umeoshwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
kuongea kiingereza kunawafanya wakenya wajione fahari kweli akati ni lugha tu kama kijaluo..Basi ongea na Ramaphosa kwa Kisukuma...
Kabisa, kama tatizo sio kidhungu watwambie tatizo nini.Ni kweli tatizo ni kingereza. Ccm inatakiwa wachague mtu anayejua kingereza
Hatuchagui kiingereza tunachagua kiongozi bora.kiingereza sio kigezo cha kuwa kiongozi bora.Magufuli hayuko vizuri kwenye lugha ya Kiingereza kwa kuongea.
Sasa basi hudhuria kikao na utumie Kimakonde chako au Kisukuma ilmradi uje na mkalimani, kukimbia vikao kisa lugha utatengwa.
Na terrorist mnajua siasa?Ni kweli tatizo ni kingereza. Ccm inatakiwa wachague mtu anayejua kingereza
Sasa chair halafu umegomea Chato, vikao vikubwa namna hii unakwepa...aisei hiki kirusi bana..
kwa hiyo vikao vya awali hadi anakuwa mwenyekiti walikuwa wanawasilianaje?Magufuli hayuko vizuri kwenye lugha ya Kiingereza kwa kuongea.
Hayayanahusikana aje na made?
Magufuli hayuko vizuri kwenye lugha ya Kiingereza kwa kuongea.
kuongea kiingereza kunawafanya wakenya wajione fahari kweli akati ni lugha tu kama kijaluo..
siku mkiufuta huu ujinga wakujifaharishia lugha za watu ndo mtafanikiwa kuyashinda mabalaa ya kufa na njaa kila mwaka hata tukawasaidia vyakula kenge nyie
Katibu wa SADC anaishi permanently hukohuko Gaborone, ni Mtanzania, yeye ndio sikio letu lahuko.
Mzee baba JPM yuko kujijini saa hii na sidhani kama mtandao ni mzuri sana kwa mkutano kam huo.
Prof.Kabudi alikwenda Madascar kuleta dawa🙂
Mikutano kama hio ni adhoc sio structured, kwa hio tutapata draft minutes na kama kuna comments/inputs zeta tutaweka.
Siku nyingine waache kuitisha mikutano adhoc namna hio, itakula kwao.
Giza hutengeneza maumboUsichokijua ni sawa na usiku wa giza..!
Acha utopolo wako wewe.Wewe ndio maana nakwambia kila cku umekomaa kuanzia shingoni kuja chini na sio juu, hivi ujiulizi Kama Tanzania kingereza kinatusumbua mawakili wetu waliwezaje kushinda kesi kibao tena zikiwa zimefunguliwa nje na mawakili hao wazungu na bado wa bongo wakatoboa
Dona kantere...!? We are Dona kantere we mast woku chest fowad meeen...Magufuli hayuko vizuri kwenye lugha ya Kiingereza kwa kuongea.