Vikao vimefanyika EAC na SADC kwa njia ya video kujadili Corona, ila Tanzania ikajiweka pembeni imenuna kweli kweli

Rais alishaongea na mwenzake wa South Africa alipotoa taarifa ya kupima Mbuzi. Inawezekana walikubaliana asimamie mkutano.
 
Rais alishaongea na mwenzake wa South Africa alipotoa taarifa ya kupima Mbuzi. Inawezekana walikubaliana asimamie mkutano.
Inawezekana...
 
Mbona vikao hivyo vimekuwa vikifanyika sana tu, umeshasahsu ni juzi tu viongozi wote wa SADC walikua Bongo na mwenyeji wao alikua ni JPM.

Vikao vya SADC kwa kutumia mtandao viliasisiwa na Tanzania chini ya TTCL, hii habari ipo humu tayari mbona.
ila mngepata tabu sana kwenye kikao kama hicho maana kama mwenyekiti mngetegemewa kukiendesha halafu changamoto ya lugha.
Rais Rafiki wa Rais wetu - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MK254 inaonekana umevunjiwa Banda lako pale Kariobangi...imejaa stress....hujui ABC za SADAC....Kenya Kwanza haimo
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mlipigiwa simu mkaombwa muongoze, mkatoa vijisababu vya logistics ilhali ni remote video, Kikwete mwanzo mwanzo alikua na matatizo ya lugha, ila taratibu akapambana mpaka mwishoni mwa awamu yake alikua vizuri tayari, ila hii awamu ya tano...hehehe
 
Hii mada yako imeshakushinda, nakushauri uanzishwe mada mpya kama kawaida yako..
Mlipigiwa simu mkaombwa muongoze, mkatoa vijisababu vya logistics ilhali ni remote video, Kikwete mwanzo mwanzo alikua na matatizo ya lugha, ila taratibu akapambana mpaka mwishoni mwa awamu yake alikua vizuri tayari, ila hii awamu ya tano...hehehe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaaaa.... wewe nyang'au wewe!!!
 
Mlipigiwa simu mkaombwa muongoze, mkatoa vijisababu vya logistics ilhali ni remote video, Kikwete mwanzo mwanzo alikua na matatizo ya lugha, ila taratibu akapambana mpaka mwishoni mwa awamu yake alikua vizuri tayari, ila hii awamu ya tano...hehehe
Ameshatoka chato sasa ivi yupo katikati ya pori anakimbizwa na corona..
Corona ipo some few meters toka alipo.
 
Hii mada yako imeshakushinda, nakushauri uanzishwe mada mpya kama kawaida yako..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani hii mada inanijadili mimi? Nishindwe kivipi ilhali sie mimi ninayechekwa, hebu nenda kule kwenye jukwaa la siasa uone nyuzi zinazojadili hicho kituko mlichokifanya, yaani nimekua napitia comments humo na kucheka sana.
 
Hii video hapa rais wa Afrika Kusini akileleza alivyojaribu kuihusisha Tanzania bila kufanikiwa.
Tupe maazimio ya hivyo vikao vya harusi
Mkenya na Uganda mlifunga mipaka yenu bila hata kuishirikisha Tanzania na hamkuita kikao,sie hatukulalamika
Tanzania ikiamua kufunga mipaka yake itaua wengi sana ,tuacheni tupambane na hali zetu,huu si wakati wa kupotezeana muda na vikao
 

Nyie mumefungiwa mipaka na wote hadi Zambia. Mumeshindwa kuchukua tahadhari, stori za mapaipai tu.
 
Kuna zee moja halina exposure na international rilesheni. Lenyewe kila mahali linatoa toa amri tu
 

Hizo ideas mlizo exchange hazijakubalika tu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ujuaji mwingi kumbe kichwani hakuna kitu.

joto la jiwe
 
Wakuje hapa tuendeleze mjadala.
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…