VIKOBA na Madeni vyatajwa kuwa chanzo cha ugonjwa wa Afya ya Akili. Wanawake wahanga wakubwa

VIKOBA na Madeni vyatajwa kuwa chanzo cha ugonjwa wa Afya ya Akili. Wanawake wahanga wakubwa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa Magonjwa ya akili kutoka Hospitali ya Mirembe mkoani Dodoma, Suluma Aslan akizungumza na Waandishi wa Habari leo Agosti 3, 2022

Suluma amesema takwimu zilizofanywa na Hospitali ya Mirembe mwanzoni mwa mwezi Julai 2021 zimebaini Tanzania kuna wagonjwa 6,000 hadi 7,000 huku katika kila nane wawili wana ugonjwa wa afya ya akili.

“Utafiti tuliofanya Mirembe unaonyesha wanawake ni wahanga wakubwa wa magonjwa ya akili na hii inasababishwa na msogno wa mawazo kutokana na madeni makubwa na vikundi vya vikoba,”amesema Aslan.

Amesema tafiti hzo pia zimeonyesha wanawake wanapata zaidi Sonona kuliko wanaume na hiyo inachangiwa pia kuzaa na kulea Watoto.
 
Kama hana hata ka biashara ka kuzugia basi ni tafran, inabidi kodi ya meza ipigwe panga Kama buku tatu au nne hivi ili ipelekwe kwenye vicoba.

Sometimes vinasaidia hata nyumbani, unarudi home unakuta vyombo vipyavipya, vishuka nk, mana wanaume hujisahau kununua vitu vidogovidogo.
 
Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa Magonjwa ya akili kutoka Hospitali ya Mirembe mkoani Dodoma, Suluma Aslan akizungumza na Waandishi wa Habari leo Agosti 3, 2022

Suluma amesema takwimu zilizofanywa na Hospitali ya Mirembe mwanzoni mwa mwezi Julai 2021 zimebaini Tanzania kuna wagonjwa 6,000 hadi 7,000 huku katika kila nane wawili wana ugonjwa wa afya ya akili.

“Utafiti tuliofanya Mirembe unaonyesha wanawake ni wahanga wakubwa wa magonjwa ya akili na hii inasababishwa na msogno wa mawazo kutokana na madeni makubwa na vikundi vya vikoba,”amesema Aslan.

Amesema tafiti hzo pia zimeonyesha wanawake wanapata zaidi Sonona kuliko wanaume na hiyo inachangiwa pia kuzaa na kulea Watoto.
Samia, umasikini wa Tz ni janga, sijui unauona au Kila mtu na lwake?!!
 
Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa Magonjwa ya akili kutoka Hospitali ya Mirembe mkoani Dodoma, Suluma Aslan akizungumza na Waandishi wa Habari leo Agosti 3, 2022

Suluma amesema takwimu zilizofanywa na Hospitali ya Mirembe mwanzoni mwa mwezi Julai 2021 zimebaini Tanzania kuna wagonjwa 6,000 hadi 7,000 huku katika kila nane wawili wana ugonjwa wa afya ya akili.

“Utafiti tuliofanya Mirembe unaonyesha wanawake ni wahanga wakubwa wa magonjwa ya akili na hii inasababishwa na msogno wa mawazo kutokana na madeni makubwa na vikundi vya vikoba,”amesema Aslan.

Amesema tafiti hzo pia zimeonyesha wanawake wanapata zaidi Sonona kuliko wanaume na hiyo inachangiwa pia kuzaa na kulea Watoto.
hapo aliposema kuna wagonjwa 6,000 hadi 7,000 hapo sijamwelewa. Kwamba Tz nzima ndio idadi hiyo tu? Au hao ni wale waliofanyiwa utafiti.


JESUS IS LORD
 
Back
Top Bottom