financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Yes vipo dear! Ni makubaliano yenu tu. 😀Kikoba cha online? Au mie ndo sijui [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes vipo dear! Ni makubaliano yenu tu. 😀Kikoba cha online? Au mie ndo sijui [emoji23][emoji23][emoji23]
Comment hapahapa😃😃Waanawake wa UPATU wana comment wapi? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kweli ila mostly wamama wanajitetea kwamba Wababa hawapendi au hawaamini mambo hayo sana wanahisi ni uongo na utapeli tu hivo hawawezi kusupport mambo hayo ya wanawake, ila pia baba ahangaike na pesa ya matumizi home pia na hivo vicoba tena mmh. So hii inapelekea mama kujibana kwenye hiyo bajeti aloacha Baba na matokeo ni hapo home mtashindia ugali+mabamia hadi mkome😀Umesema vyema ila ninewaza tu kama mwanaume akishirikishwa na vitu vikafanyika kiuwazi maendeleo kwenye nyumba siyaongezeka
Kwa me sioni shida kushindia ugali bamia kama mwisho wa mwaka kuna malengo ya kifamilia yanatimia nadhani ni mbaya kwa asiye na malengoNi kweli ila mostly wamama wanajitetea kwamba Wababa hawapendi au hawaamini mambo hayo sana wanahisi ni uongo na utapeli tu hivo hawawezi kusupport mambo hayo ya wanawake, ila pia baba ahangaike na pesa ya matumizi home pia na hivo vicoba tena mmh. So hii inapelekea mama kujibana kwenye hiyo bajeti aloacha Baba na matokeo ni hapo home mtashindia ugali+mabamia hadi mkome😀
Pesa ya mke ni yake, pesa ya mume ni ya familia. Think....Kama maendeleo yanarudi kwenye familia kwanini mwanaume awe insecured
Nimekuelewa huo msambwanda , note: ukihitaj ya marejesho vikoba nichek P.M maximum 100K npo serious....Comment hapahapa😃😃
Ndio waume wenu wahusike.Kuna ubaya kama mwanaume atahusika kwenye hayo marejesho na si kumwachia mkewe pekee
Lkn nyie wanawake baadhi hamridhikiKuna ubaya kama mwanaume atahusika kwenye hayo marejesho na si kumwachia mkewe pekee
Ooooh kumbe bas sawaaah.Yes vipo dear! Ni makubaliano yenu tu. [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawaaahComment hapahapa[emoji2][emoji2]