PAGAMECO
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 1,206
- 1,237
Zimebaki story Tu . hapo zamàni ilikuwa ikawa mpaka sasa hakuna jipya kinachofanyika ni uzuzu tu . kama tukiendelea kutegemea mafanikio ya mpira kuptia hawa kina kichuya , yondani , Ulimwengu na nk. nikucheza mirenge kwenye mdumange .
DATA= wachezaji wa ndani wasio na majina makubwa + wachezaji kutoka zanzibar + Vipaji kutoka timu za vijana (25)
na Mwalimu mwenye Akili Timamu mfano : MASOUD D JUMA hapo siyo ushabiki Fikiria vizuri ni kocha wa Aina Gani?
Maandalizi ya kutosha na kuondoa Vidampa wa Simba na yanga ##
VUNJA TIMU YOTE YA TAIFA HAKUNA TIMU Pale ya Kusimamia U Tanzania wetu .
hivyo Big Mind Thinking wameelewa,
DATA= wachezaji wa ndani wasio na majina makubwa + wachezaji kutoka zanzibar + Vipaji kutoka timu za vijana (25)
na Mwalimu mwenye Akili Timamu mfano : MASOUD D JUMA hapo siyo ushabiki Fikiria vizuri ni kocha wa Aina Gani?
Maandalizi ya kutosha na kuondoa Vidampa wa Simba na yanga ##
VUNJA TIMU YOTE YA TAIFA HAKUNA TIMU Pale ya Kusimamia U Tanzania wetu .
hivyo Big Mind Thinking wameelewa,