Hao wanamgambo magaidi saizi wameshafika jehanamu
Hahaha
HatariMmarekani alikua anamuimbia Uran 'Simama dede, simama dede' lengo ni ili Iran ainuke ionekane ameshakua na kuanza kutembea ili amtwange
Tulia wewe! Kaka mkubwa ameamua sasa maana alikua kimya kwa muda mrefu mkaanza kumchokonoahivi kati iran iraq usa nani gaidi mkuu wa dunia ya sasa?
Nataka kuona siku usa akiipiga live iran ndio nitaacha kuisapoti iranTulia wewe! Kaka mkubwa ameamua sasa maana alikua kimya kwa muda mrefu mkaanza kumchokonoa
Ndo kina nan hawaWavaaa Vipedo na Wafuga majini mwaka huu kazi wanayo
Wana kula tu bikra zao 72Hao wanamgambo magaidi saizi wameshafika jehanamu
Aipige mara ngapi!?!Nataka kuona siku usa akiipiga live iran ndio nitaacha kuisapoti iran
mkuu hii ligi imeaanza baada kuwapiga wana mgambo huko iraq sio iran kuigusa irani sawasawa kuchomoa battery pale msamvuAipige mara ngapi!?!
UN ilisha fail kitambo sana, toka mauvamizi ya Vietnam nakadhalika, USA anachaguwa tu wapi aende kupora mali kwa mabavu, Russia naye anahangaika na Ukraine na Syria, its free for all kwa hawa so called Superpowers, very disappointing indeed...UN iko wapi
Naiona dalili za ku'fail kama league of the nation 1930's na kuchochea Ww2 ........
Why Un Failed 2_prevent Big Nation
In Using Massive Power""?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabsa wapuuz kwel
Bikra za shetani wanagongaWana kula tu bikra zao 72
Hahah au ukute kumbe wao wakifika ndo wanageuzwa kuwa bikiraBikra za shetani wanagonga
UN =Bunge la Ndungai, USA = JPMUN iko wapi
Naiona dalili za ku'fail kama league of the nation 1930's na kuchochea Ww2 .........
Why Un Failed 2_prevent Big Nation
In Using Massive Power""?
Sent using Jamii Forums mobile app