Vikundi vya Hamasa vina tofauti gani na Chawa wa mama?

Vikundi vya Hamasa vina tofauti gani na Chawa wa mama?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Hivi karibuni kumekuwa na mjadala kuhusu watu wengi kujiita chawa wa mama, ambapo baadae Rais aliongea maneno ambaye nadhani yaliwarudisha nyuma kidogo.

Leo, nipo Dodoma kama kawaida, kwenye one and two, tupo na waziri Mkuu hapa, kwa hiyo wamekuja wamama wengi wamevaa t-shirt zenye picha ya Rais. Hawa wamama wanashangilia, wanapiga kelele mtu akiongea chochote, wakiambiwa wapige vigelegele wanapiga kweli, wanapiga haswa.

Kwenye utambulisho wametajwa kama Kikundi cha Hamasa cha wanawake wa Mama Samia, sasa nawaza hawa wanatofauti gani na chawa wamama. Je kikundi hiki kinapata hela kwa shughuli za kushangilia na kupiga vigelegele tu hadi kujiundia kikundi cha hamasa?
 
Hivi karibuni kumekuwa na mjadala kuhusu watu wengi kujiita chawa wa mama, ambapo baadae Rais aliongea maneno ambaye nadhani yaliwarudisha nyuma kidogo.

Leo, nipo Dodoma kama kawaida, kwenye one and two, tupo na waziri Mkuu hapa, kwa hiyo wamekuja wamama wengi wamevaa t-shirt zenye picha ya Rais. Hawa wamama wanashangilia, wanapiga kelele mtu akiongea chochote, wakiambiwa wapige vigelegele wanapiga kweli, wanapiga haswa.

Kwenye utambulisho wametajwa kama Kikundi cha Hamasa cha wanawake wa Mama Samia, sasa nawaza hawa wanatofauti gani na chawa wamama. Je kikundi hiki kinapata hela kwa shughuli za kushangilia na kupiga vigelegele tu hadi kujiundia kikundi cha hamasa?
Hizo ni kura za ccm za uhakika, Wagogo na ccm huwezi kuwaeleza kitu
 
Hivi karibuni kumekuwa na mjadala kuhusu watu wengi kujiita chawa wa mama, ambapo baadae Rais aliongea maneno ambaye nadhani yaliwarudisha nyuma kidogo.

Leo, nipo Dodoma kama kawaida, kwenye one and two, tupo na waziri Mkuu hapa, kwa hiyo wamekuja wamama wengi wamevaa t-shirt zenye picha ya Rais. Hawa wamama wanashangilia, wanapiga kelele mtu akiongea chochote, wakiambiwa wapige vigelegele wanapiga kweli, wanapiga haswa.

Kwenye utambulisho wametajwa kama Kikundi cha Hamasa cha wanawake wa Mama Samia, sasa nawaza hawa wanatofauti gani na chawa wamama. Je kikundi hiki kinapata hela kwa shughuli za kushangilia na kupiga vigelegele tu hadi kujiundia kikundi cha hamasa?
Vikundi hivi ni vya ulinzi wa haraka(Rapid Force) ambavyo vinazurula na muhusika na viko tayari kupigana.
 
Back
Top Bottom