Abromovich alidhamini Chelsea Kwa fedha za Damu.Hii klabu ilianza mwaka 1905 na mkongwe tokea kuanzishwa kwake.
ila vikwazo ambavo vimekuja kuathiri kutokana mgogoro wa urusi na ukrain kwa kuwa mzamini wake abromovich kuwa karibu na putin ! au pesa alizokeza kuwa tishio kwa nchi ya wingereza.
Kuzuiliwa kuuza na wazamini kujitoa na pili kufreez account zote ni kitendo cha kuimaliza hii club na kuitoa kwenye ramani.
kama hivi vikwazo vikifika hata miaka kumi basi chelsea itakuwa ishafia mbali kwa haya
Bila ushahidi kuwekwa hapa ni sawa na zile hadithi za Juma na Uledi kwamba Baba yale Juma ana ngoma kuuuubwa Watu wanacheza mpira juu na chini ya uvungu wa hiyo ngoma magari yanapita, Baba yake Uledi ana pesa ambazo zikipangwa juu ya reli noti za elfu kumi kumi zinaweza kuanzia Dar mpaka DodomaAbromovich alidhamini Chelsea Kwa fedha za Damu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Eti alidhamini Chelsea kwa fedha za damu...! Kwahivyo Abromovich amegeuka Mdhamini na si Mmliki wa Chelsea.Abromovich alidhamini Chelsea Kwa fedha za Damu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app