chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Hii klabu ilianza mwaka 1905 na mkongwe tokea kuanzishwa kwake.
ila vikwazo ambavo vimekuja kuathiri kutokana mgogoro wa urusi na ukrain kwa kuwa mzamini wake abromovich kuwa karibu na putin ! au pesa alizowekeza kuwa tishio kwa nchi ya wingereza.
Kuzuiliwa kuuza na wazamini kujitoa na pili kufreez account zote ni kitendo cha kuimaliza hii club na kuitoa kwenye ramani.
kama hivi vikwazo vikifika hata miaka kumi basi chelsea itakuwa ishafia mbali kwa haya
ila vikwazo ambavo vimekuja kuathiri kutokana mgogoro wa urusi na ukrain kwa kuwa mzamini wake abromovich kuwa karibu na putin ! au pesa alizowekeza kuwa tishio kwa nchi ya wingereza.
Kuzuiliwa kuuza na wazamini kujitoa na pili kufreez account zote ni kitendo cha kuimaliza hii club na kuitoa kwenye ramani.
kama hivi vikwazo vikifika hata miaka kumi basi chelsea itakuwa ishafia mbali kwa haya