whats are the "barriers" facing the growth of "tanzanian" farmers
Chama Cha Mapinduzi
Vikwazo vingine ni Ardhi
Tatizo la ardhi ni kubwa sana.
unakuta mashamba yenye rutuba wanagaiwa wawekezaji halafu wazawa wanakuwa vibarua. kwani nini mzawa asitumie nguvu kazi yake kujiajiri katika ardhi yake kama heka 5 au 10?
unakuta viongozi wa serikali wanahodhi ardhi heka 500 au elfu - pengine unakuta mwekezaji anapewa ardhi hekari 5000 mpaka 100000.
Watanzania hatuna haki ya kugawiwa ardhi.