Vikwazo vya Marekani vyaiondoa Huawei kwenye nafasi ya kwanza hadi ya nne China

Vikwazo vya Marekani vyaiondoa Huawei kwenye nafasi ya kwanza hadi ya nne China

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Miaka 3 iliyopita serikali ya Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi kampuni ya vifaa vya mawasiliano ya China, Huawei kwa sababu za kiusalama.

Vikwazo vilianza kung'ata mwaka jana Huawei ikaamua kuuza kampuni yake tanzu ya Honor ili na yenyewe isije kufa kwa vikwazo vya Marekani.

Sasa takwimu zinasema Huawei imepoteza karibu 24%ya umiliki wa soko, market share kwenye soko la ndani, China. Hadi December 2019 Huawei ilikua inamiliki 41% ya soko, sasa iko 16% hadi kufikia December 2020 sawa na Apple.

Kampuni ya Oppo, Vivo zimeipiku Huawei na kuwa kampuni maarufu kwa sasa kwa China zikimiliki 22% na 20% kwa Vivo.

Wachambuzi wanasema inawezekana kufikia mwaka 2023 Huawei ikawa haipo kwenye soko ama ina nafasi ndogo sana ya soko iwapo utawala wa Biden hautaondoa vikwazo vilivyowekwa na Trump.

Kwa sasa timu ya washawishi ya Huawei imeweka kambi Washington kujaribu kushawishi utawala wa Biden wawalegezee vikwazo vinginevyo Huawei itasahaulika Duniani.

Sasa naamini kuwa Marekani bado ana nguvu ya kuiondoa kampuni yoyote ile Duniani kwenye soko. Sikutegemea Huawei itakua hivi.

Huawei's smartphone struggles are hitting it hard in China Huawei's smartphone struggles are hitting it hard in China
 
sikuona sababu ya hawa jamaa kukaza baada ya tuhuma nzito zile.

ilifaa waende mezani wayamalize kidiplomasia,aendelee na biashara.

hii dunia hakuna maisha ya peke yako.sasa ona anakataliwa mpaka nyumbani kwake.
maana mchina atanunua huawei kizalendo ndio,vipi akitoka nayo nje!!!uber au bolt zinagoma,map hamna nk.

hata kwenye simu zinazochambuliwa ikitoka siku hizi haikai.
 
Miaka 3 iliyopita serikali ya Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi kampuni ya vifaa vya mawasiliano ya China, Huawei kwa sababu za kiusalama.

Vikwazo vilianza kung'ata mwaka jana Huawei ikaamua kuuza kampuni yake tanzu ya Honor ili na yenyewe isije kufa kwa vikwazo vya Marekani.

Sasa takwimu zinasema Huawei imepoteza karibu 24%ya umiliki wa soko, market share kwenye soko la ndani, China. Hadi December 2019 Huawei ilikua inamiliki 41% ya soko, sasa iko 16% hadi kufikia December 2020 sawa na Apple.

Kampuni ya Oppo, Vivo zimeipiku Huawei na kua kampuni maarufu kwa sasa kwa China zikimiliki 22% na 20% kwa Vivo.

Wachambuzi wanasema inawezekana kufikia mwaka 2023 Huawei ikawa haipo kwenye soko ama ina nafasi ndogo sana ya soko iwapo utawala wa Biden hautaondoa vikwazo vilivyowekwa na Trump.

Kwa sasa timu ya washawishi ya Huawei imeweka kambi Washington kujaribu kushawishi utawala wa Biden wawalegezee vikwazo vinginevyo Huawei itasahaulika Duniani.

Sasa naamini kua Marekani bado ana nguvu ya kuiondoa kampuni yoyote ile Duniani kwenye soko. Sikutegemea Huawei itakua hivi.

Huawei's smartphone struggles are hitting it hard in China Huawei's smartphone struggles are hitting it hard in China
Walijifanya wanamkazia USA kilichowakuta ndio icho. Marekani ni mbabe wa dunia utake usitake
 
Itapotea labda kwenye smartphone
Lakini kwenye vifaa vya minara ya simu hakuna mbadala
 
Walijifanya wanamkazia USA kilichowakuta ndio icho. Marekani ni mbabe wa dunia utake usitake
Nchi zenye influence in tech and business ndio zina nguvu hapa duniani. USA ni nchi moja yenye nguvu sana kwenye tech. Huwezi bishana nao wakati technologies nyingi tunazotumia (hasa upande wa software) zinatoka kwao. Huawei walizingua walivyooanza kuficha mambo na kuiba vitu kutoka company za US. Wakaja wakazuia ku unlock bootloader inayowezesha watu kuflash custom ROM wanazotaka na hapo ndipo watu wengi wakaanza kuwahisi huawei vibaya. Kwanini wazuie ku unlock bootloader? Ilileta hofu kuwa inawezekana wana spyware kwenye software yao ndio hawataki watu waitoe. Wakapoteza uaminifu kabisa huko US.
 
Miaka 3 iliyopita serikali ya Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi kampuni ya vifaa vya mawasiliano ya China, Huawei kwa sababu za kiusalama.

Vikwazo vilianza kung'ata mwaka jana Huawei ikaamua kuuza kampuni yake tanzu ya Honor ili na yenyewe isije kufa kwa vikwazo vya Marekani.

Sasa takwimu zinasema Huawei imepoteza karibu 24%ya umiliki wa soko, market share kwenye soko la ndani, China. Hadi December 2019 Huawei ilikua inamiliki 41% ya soko, sasa iko 16% hadi kufikia December 2020 sawa na Apple.

Kampuni ya Oppo, Vivo zimeipiku Huawei na kua kampuni maarufu kwa sasa kwa China zikimiliki 22% na 20% kwa Vivo.

Wachambuzi wanasema inawezekana kufikia mwaka 2023 Huawei ikawa haipo kwenye soko ama ina nafasi ndogo sana ya soko iwapo utawala wa Biden hautaondoa vikwazo vilivyowekwa na Trump.

Kwa sasa timu ya washawishi ya Huawei imeweka kambi Washington kujaribu kushawishi utawala wa Biden wawalegezee vikwazo vinginevyo Huawei itasahaulika Duniani.

Sasa naamini kua Marekani bado ana nguvu ya kuiondoa kampuni yoyote ile Duniani kwenye soko. Sikutegemea Huawei itakua hivi.

Huawei's smartphone struggles are hitting it hard in China Huawei's smartphone struggles are hitting it hard in China
Marekani Ana nguvu ya kuondoa kampuni yoyote ya China sokoni sababu ya culture ya hao jamaa.

Ila hawezi gusa Ulaya na Japan,
 
Itapotea labda kwenye smartphone
Lakini kwenye vifaa vya minara ya simu hakuna mbadala
Hebu fikiria Nchi yako Tanzania kwanza, mtandao gani Unatumia Huawei?
1. Vodacom 4g yao ni Nokia
2. Halotel sijui Ila 100% haziendi na China ina rule out Huawei
3.Tigo last Time na angalia ni Ericson
4. Ttcl ni Huawei.


Unapozungumzia mitandao yenye speed na ipo reliable ni Voda na Halotel, Ttcl wana vifurushi vizuri Ila network yake tunaijua, na Tigo nao Coverage yao kwa 4g ni nzuri.

Then nenda Duniani, angalia nchi gani ama mitandao gani inaongoza kwa speed. Utakuta Singapore, South Korea, Japan, maeneo ya Scandinavia kina Norway huko etc. Na wote hao hawamgusi Huawei.


Mkuu sababu kubwa ya Huawei kuwa juu kwenye Telecom si kwamba anajua na Ana tech kubwa, bali sababu anauza vifaa vya quality ndogo kwa bei rahisi, na anaweza ku afford kuuza rahisi sababu a napata subsidies za serikali.

Pia Ana advantage ya soko kubwa la China, mtandao mmoja tu wa China una Watu milioni 700 ama zaidi, ambao ni sawa na mitandao takriban 100 ya nchi nyengine kama zetu.
 
Hebu fikiria Nchi yako Tanzania kwanza, mtandao gani Unatumia Huawei?
1. Vodacom 4g yao ni Nokia
2. Halotel sijui Ila 100% haziendi na China ina rule out Huawei
3.Tigo last Time na angalia ni Ericson
4. Ttcl ni Huawei.


Unapozungumzia mitandao yenye speed na ipo reliable ni Voda na Halotel, Ttcl wana vifurushi vizuri Ila network yake tunaijua, na Tigo nao Coverage yao kwa 4g ni nzuri.

Then nenda Duniani, angalia nchi gani ama mitandao gani inaongoza kwa speed. Utakuta Singapore, South Korea, Japan, maeneo ya Scandinavia kina Norway huko etc. Na wote hao hawamgusi Huawei.


Mkuu sababu kubwa ya Huawei kuwa juu kwenye Telecom si kwamba anajua na Ana tech kubwa, bali sababu anauza vifaa vya quality ndogo kwa bei rahisi, na anaweza ku afford kuuza rahisi sababu a napata subsidies za serikali.

Pia Ana advantage ya soko kubwa la China, mtandao mmoja tu wa China una Watu milioni 700 ama zaidi, ambao ni sawa na mitandao takriban 100 ya nchi nyengine kama zetu.
Mkuu umeiweka sawa kitaalam.

Safi sana.

Watu wengi hasa wenye uelewa mdogo hudhani Huawei ana teknolojia mpya ama ya tofauti, hawajui kua yeye sifa yake ni hiyo uliyoisema, ubora mdogo na bei ndogo huku akifidia ile bei kwa ruzuku za serikali.
 
Marekani Ana nguvu ya kuondoa kampuni yoyote ya China sokoni sababu ya culture ya hao jamaa.

Ila hawezi gusa Ulaya na Japan,
Mkuu sijakupata hapa, unaweza kuiweka sawa, culture ya wachina ama wamarekani?

Lakini pia nachokijua Ulaya, Japan na Marekani lao hua ni moja. Hao ni partners in crime.

Ndio maana hua unaona ukiwekewa vikwazo na Marekani basi by default una bikwazo na ulaya hata kama hawajakutangazia wazi.
 
sikuona sababu ya hawa jamaa kukaza baada ya tuhuma nzito zile.

ilifaa waende mezani wayamalize kidiplomasia,aendelee na biashara.

hii dunia hakuna maisha ya peke yako.sasa ona anakataliwa mpaka nyumbani kwake.
maana mchina atanunua huawei kizalendo ndio,vipi akitoka nayo nje!!!uber au bolt zinagoma,map hamna nk.

hata kwenye simu zinazochambuliwa ikitoka siku hizi haikai.
Sure, hakukua na sababu ya kukaza. Walitakiwa wakae mezani wazungumze yaishe.

Kwenye ulimwengu wa teknolojia marekani anamiliki haki miliki nyingi na za muhimu.
 
Mkuu sijakupata hapa, unaweza kuiweka sawa, culture ya wachina ama wamarekani?

Lakini pia nachokijua Ulaya, Japan na Marekani lao hua ni moja. Hao ni partners in crime.

Ndio maana hua unaona ukiwekewa vikwazo na Marekani basi by default una bikwazo na ulaya hata kama hawajakutangazia wazi.
Culture ya ku copy mkuu, wao wa naona ku copy vitu vya Watu bila kuwa na patents ni ujanja, in long term madhara yake ni haya sababu ina discourage innovations.

Kama mkuu umeangalia movie ya ip man ya ya Donnie yen, ilivyo toka tu part 2 Watu kibao wa kaanza kutoa part 3, kwa China ukigundua kitu ni cha taifa hicho kila mtu anacopy, hivyo ina discourage makampuni makubwa kufanya innovations pale China.

Hii inapelekea makampuni makubwa kama Xiaomi ama hata Hao Huawei wenyewe, wakiwa serious na project zao wa natumia maabara za nje ya China.
 
Culture ya ku copy mkuu, wao wa naona ku copy vitu vya Watu bila kuwa na patents ni ujanja, in long term madhara yake ni haya sababu ina discourage innovations.

Kama mkuu umeangalia movie ya ip man ya ya Donnie yen, ilivyo toka tu part 2 Watu kibao wa kaanza kutoa part 3, kwa China ukigundua kitu ni cha taifa hicho kila mtu anacopy, hivyo ina discourage makampuni makubwa kufanya innovations pale China.

Hii inapelekea makampuni makubwa kama Xiaomi ama hata Hao Huawei wenyewe, wakiwa serious na project zao wa natumia maabara za nje ya China.
Sahihi kabisa mkuu.

China tabia yao ya copying and pasting inawagharimu sana.

Hii tabia iko discouraged ulaya lakini China imeonekana inabebwa hadi na watawala.

Kwa mtindo huu huwezi kufikia technological independence iwapo wewe kazi yako ni copy and paste.

Plagiarisms china ni kitu cha kawaida sana.
 
Hebu fikiria Nchi yako Tanzania kwanza, mtandao gani Unatumia Huawei?
1. Vodacom 4g yao ni Nokia
2. Halotel sijui Ila 100% haziendi na China ina rule out Huawei
3.Tigo last Time na angalia ni Ericson
4. Ttcl ni Huawei.


Unapozungumzia mitandao yenye speed na ipo reliable ni Voda na Halotel, Ttcl wana vifurushi vizuri Ila network yake tunaijua, na Tigo nao Coverage yao kwa 4g ni nzuri.

Then nenda Duniani, angalia nchi gani ama mitandao gani inaongoza kwa speed. Utakuta Singapore, South Korea, Japan, maeneo ya Scandinavia kina Norway huko etc. Na wote hao hawamgusi Huawei.


Mkuu sababu kubwa ya Huawei kuwa juu kwenye Telecom si kwamba anajua na Ana tech kubwa, bali sababu anauza vifaa vya quality ndogo kwa bei rahisi, na anaweza ku afford kuuza rahisi sababu a napata subsidies za serikali.

Pia Ana advantage ya soko kubwa la China, mtandao mmoja tu wa China una Watu milioni 700 ama zaidi, ambao ni sawa na mitandao takriban 100 ya nchi nyengine kama zetu.
Utopolo
 
Back
Top Bottom