FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Habari wana soka kindaki ndaki wa jf
Niende kwenye maada maoja kwa moja.Tangu nianze kuona ligi kuu Tanzania bara na kuhudhuria mechi nyingi za ligi hii ghafla nilijikuta najiuliza maswali mengi haswa eneo hili la namna vilabu vinapata pesa na si pesa tu bali ile inayokidhi mahitaji ya kuendesha team
Kwa kuangalia viwanjani bado kwa ligi yetu mahudhurio kwa asilimia kubwa ni hafifu mno na vingilio bei ni chini sana.Je vilabu vinapataje faida haswa katika kuendesha timu maana getini bado waya mkali kwa namna nionavyo.Ni mechi za simba na yanga pekee ndio walau mapato yake yanaletaga hela ya kiume mezani.Je kwa vilabu vingine hivi inakuwaje?
Je kuna gawio toka TFF,CAF na FIFA na kama lipo mgao unakuwaje?.vilabu vyote hupata mgao sawa?
Nimewaza sana timu zinavosafiri kuizunguka nchi wakipiga mechi yaani gharama ni kubwa mno za kujiendesha.
Naomba nimalize kwa kuuliza ni namna gani vilabu vya ligi kuu vinapata pesa ya kutosha kujiendesha maana viingilio bado si hela inayoweza kutosha.
Karibuni wataalam wa football.
Niende kwenye maada maoja kwa moja.Tangu nianze kuona ligi kuu Tanzania bara na kuhudhuria mechi nyingi za ligi hii ghafla nilijikuta najiuliza maswali mengi haswa eneo hili la namna vilabu vinapata pesa na si pesa tu bali ile inayokidhi mahitaji ya kuendesha team
Kwa kuangalia viwanjani bado kwa ligi yetu mahudhurio kwa asilimia kubwa ni hafifu mno na vingilio bei ni chini sana.Je vilabu vinapataje faida haswa katika kuendesha timu maana getini bado waya mkali kwa namna nionavyo.Ni mechi za simba na yanga pekee ndio walau mapato yake yanaletaga hela ya kiume mezani.Je kwa vilabu vingine hivi inakuwaje?
Je kuna gawio toka TFF,CAF na FIFA na kama lipo mgao unakuwaje?.vilabu vyote hupata mgao sawa?
Nimewaza sana timu zinavosafiri kuizunguka nchi wakipiga mechi yaani gharama ni kubwa mno za kujiendesha.
Naomba nimalize kwa kuuliza ni namna gani vilabu vya ligi kuu vinapata pesa ya kutosha kujiendesha maana viingilio bado si hela inayoweza kutosha.
Karibuni wataalam wa football.