Vilabu vyetu vijifunze kitu kutoka kwa Everton

Vilabu vyetu vijifunze kitu kutoka kwa Everton

Joined
Jul 31, 2014
Posts
20
Reaction score
9
Ndugu zangu ninayo mengi ya kusema juu ya ujio wa timu ya Everton inayoshiriki ligi kuu ya England.

Timu zetu zijifunze kuwa hakuna kudharau mashindani ya aina yeyote. Kichuya msuva na wengine fursa hii haijirudii tena.

Miili ya wachezaji pia ni mikubwa na wenye nguvu na uwezo mkubwa lakini pia matumizi ya akili na uwezo wao ilikuwa ni kivutio kikubwa sana kwa watazamaji.

Asanteni everton kwa kuja


Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Nimeona watu wengi wanavilaumu vilabu vyetu kwa kudharau mashindano ya SP super cup, lakini hapo hapo wansahau wachezaji wengi wa hizi timu zetu walikuwa na timu ya taifa. Nafikiri timing ya mashindano haikuwa fair kwa timu zetu.
 
Nimeona watu wengi wanavilaumu vilabu vyetu kwa kudharau mashindano ya SP super cup, lakini hapo hapo wansahau wachezaji wengi wa hizi timu zetu walikuwa na timu ya taifa. Nafikiri timing ya mashindano haikuwa fair kwa timu zetu.
Ni kweli, mkuu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom